@mshindo_tv: —Mkurugenzi wa Deepseach international Ltd Bw.Yusuf Washokera Amesema Ujio wa Jukwaa la kidigitali la Driverlinkafrica utarahisha kupatikana kwa Ajira Lakini pia kuwarahisishia makampuni yanayotafuta madereva kuwapata kwa urahisi kwenye Mfumo. Bw.Washokera Amesema kampuni inayotaka madereva itaingia kwenye mfumo na madereva wanatafuta ajira wataingia kwenye Mfumo, jambo ambalo limeondoa changamoto iliyokuepo awali ya kuhangaika kutafuta madereva au madereva kuhangaika kutafuta ajira. NB: Mfumo wa Driverlinkafrika Unapatika kwenye Apps store pamoja na google Play kwa watani Simu za Android, Lakini pia kwenye Www.driverlinkafrica.com