@vkbmedia: Mwamwindi alijikabidhi mwenyewe kituo cha polisi akiwa ameendesha gari lililobeba mwili wa Mkuu wa mkoa wa Iringa Dr Kreluu,"Chukueni Mbwa wenu'' Aliwaambia polisi makao makuu Iringa #Mwamwindi #VKBMediaUpdates
unamjua kwanini imeludiwa kama snema ni kutaka kuwapa ujumbe na kuwakumbusha watawala
2026-06-10 18:01:55
51
Emanuel Tagala :
Kwani zamani mkuu wa mkoa hawakuwa na walinzi, mbona miaka hii mkuu wa mkoa na escorts ya usalama kama wote
2026-06-11 10:25:21
11
Tufugeme malolo :
hakusema niwekeni ndani alisema n nimeua mbwa wenu Yuko huko kwenye gari yule askari akasjamgaa akatoka na kukuta ni mkuu wa mkoa na gari ni lake ndipo akamchukua na kumuweka ndani akaanza kutoa taarifa kwa viongozi