@veriafya: Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Florence Samizi, leo Juni 10, 2026, amewaagiza Waganga Wakuu wa Hospitali zote za Umma nchini, kuanzia ngazi ya Taifa hadi Zahanati kuacha kuwatoza pesa za Matibabu Wajawazito na Watoto chini ya Miaka 5 kwani gharama zao zinalipwa na Serikali. Tuambie, umepokeaje Maagizo haya?

Veriafya
Veriafya
Open In TikTok:
Region: US
Wednesday 10 June 2026 14:07:51 GMT
27777
428
46
67

Music

Download

Comments

nk_manuel255
Nkondola Emmanuel, MD :
Alooo 🙌🏾
2026-06-10 20:41:09
0
aminafumu638
Minah myrah :
baruti hospital ya wilaya Kam private yan wanapend hela 🙌
2026-06-10 19:19:07
1
careenjohn4
careenjohn4 :
adi hospitali za private
2026-06-10 18:09:20
0
macklin.moyo
macklin moyo :
sasa utakuwepo???
2026-06-10 14:30:31
0
bby.face880
bby face 🖤 :
saf sana mama ss tunaozaa kila siku mungu ametuona
2026-06-10 19:43:54
0
praise1703
Praise17 :
Mmhhhhhhh😂😂
2026-06-10 16:00:15
0
samsonpaull311
THE NGOSHA comedy :
mh nashindwa nakasemee
2026-06-10 19:01:13
0
tulinagwe43
tulinagwe :
safi sana
2026-06-10 18:44:30
0
mkwayarukiah
Niyeyeee :
mmh
2026-06-10 18:10:31
0
mumy_rashidy
Lee’s Mum 💕 :
Mbona ni kawaida na tumezoea?
2026-06-10 17:16:09
2
megaboxii
MegaBox :
😁au sio
2026-06-10 15:19:19
0
user9363097237525
it's naomy :
mmmmmmh
2026-06-10 18:45:43
0
mbiku36
mbiku3 :
mke wangu nimempeleka juz hospital ya wilaya masasi mjini mkkmaindo , ni mjamzito mimba miez 7 utra sound elfu 15 sijui wing wa damu jumla nimelipia ekfu 55 wakat sikh ya kwanza zahanati nilipa kupima mimba nk na bado
2026-06-10 18:23:18
0
fetty.collection1
Fetty Collection :
huduma gni bure msituambie matango pori juzi nimetoka kujifungua Kwa operation laki na nusu na ni hospital ya serikali mnaongea ila havitendew kazi🙌🙌
2026-06-10 20:15:33
1
moses.george19
Moses George :
moja wa Iringa wanalipishwa hela akina mama wajawazito, kuanzia anapo anza kupima ujauzito kwa mara ya kwanza hadi anajifungua kila akienda lazima alipie elfu 20 , na ultra sound elfu 20, hii ni hatari
2026-06-10 16:31:08
0
mamalenga31
moshimariamu :
mbona majibu marahisi hivyo jamani. naomba watwambie tukitozwa pesa wapi tukashtaki
2026-06-10 16:48:47
0
dr_herry
DR HERRY NA UZAZ|+255742449224 :
😂😂 hospital Gani hizo..!! hizi hzi za serikali au ?
2026-06-10 15:35:00
4
georg6709
georg :
Nikweli wanalipiswa wajawazito pamoja na watt.
2026-06-10 16:06:48
0
nuru.khalid2
nuru khalid :
hata panadol hawapewi
2026-06-10 14:37:57
2
don_pablo955
PABLO :
Ila tamisemi inasema kituo kijiendeshe bila kutegemea gawio la serikali na asilimia 80 ya wateja ni watoto na wajawazito
2026-06-10 17:50:56
1
kurnaf6
kurnaf :
hakuna madawa.
2026-06-10 15:20:28
1
shady.mtabibu
Shady Mtabibu :
labda sio nchi yangu
2026-06-10 18:26:57
0
user434259937676
vumili@ :
kweli kabisa jmn tumechoka
2026-06-10 18:28:08
0
To see more videos from user @veriafya, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About