@thematrida: Replying to @Lorelei Riba inapoonekana kama gharama ya ziada, watu wanasahau kuwa mfumuko wa bei unashusha thamani ya lile deni kila mwaka, wakati thamani ya ardhi au nyumba (Asset) inazidi kupanda. Thamani ya milioni 80 unayodaiwa leo haitakuwa na nguvu ile ile ya manunuzi miaka 5 au 10 ijayo, lakini kodi unayokusanya na thamani ya mali vitakuwa vimepanda sana. Deni linabaki palepale, lakini kipato kinalizidi nguvu. Karibu kwa consultation services 0743522226

MATRIDA (REAL ESTATE EXPERT)
MATRIDA (REAL ESTATE EXPERT)
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 11 June 2026 14:05:35 GMT
9464
299
10
31

Music

Download

Comments

peaceabesiga
Peace Abesiga :
ni kweli yamenikuta
2026-06-13 08:57:56
0
mamamzungu3
MAMA MZUNGU :
Ukitumiwa msg hujibu
2026-06-12 16:17:20
0
cute.mh
cute mh :
mbn mm nimetuma smg whtsp amjibu
2026-06-23 16:20:43
0
hammysi
hammysi :
Sahihiiiii
2026-06-11 16:19:02
0
hammysi
hammysi :
Nimeanza kujenga ciment 16500 asaivi mpaka elf 19
2026-06-11 16:19:39
0
user9620952624139
happy :
hivi kujengewa ni dar tu jamani wa mkoani akuna??
2026-06-11 16:51:54
0
mamaalani726
Mama Alani :
mwanza je inakuwaje
2026-06-15 18:12:27
0
fabiani.mihayo
Fabiani Mihayo :
🔥🔥🔥
2026-06-18 10:42:52
0
oman.mobaile1
Oman Mobaile :
🔥🔥🔥🔥
2026-06-18 12:37:45
0
To see more videos from user @thematrida, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About