@bongofive: Huyu hapa msemaji wa Familia akitoa Ratiba ya Mazishi ya Mzee Onyango ambapo Ratiba itaanzia Nyumbani kisha Mwili wa Marehemu Mzee Onyango Kuzikwa katika makaburi ya Kondo Tegeta Video Nzima ipo katika Akaunti yetu ya youtube ya Bongofive