@jimmy_mofuga_mindset: Je, shule pekee ndiyo njia ya utajiri? 🤔 Watu 40 wenye ndoto tofauti hawawezi kufundishwa kwa mfumo mmoja na mwalimu mmoja mwenye mtazamo mmoja wa maisha. Pia, akili ya mtu aliyekua tumboni kwa miezi 9 haiwezi kupimwa kwa karatasi la mtihani wa masaa 3 na kuamuliwa kuwa ana akili au hana akili. Elimu ni muhimu, lakini mafanikio ya kweli yanahitaji ubunifu, ujuzi, uthubutu, nidhamu na uwezo wa kutatua matatizo halisi ya maisha. Unakubaliana au unapinga? Toa maoni yako hapa chini. 👇 #Biashara #Mafanikio #Mindset #Elimu #Ujasiriamali