Mikopo ya bank huwa inamapepo , Ila kunamtu aliniambia kua mkopo wowote wenye riba huwa unamatatizo sikuzote .
2026-06-12 15:42:55
112
Abdul anwar :
mikopo imefelisha weng sana
2026-06-12 14:21:49
89
mzulu wa TZ,🇹🇿 :
fact bro 💯
2026-06-13 05:51:30
0
calvincalvin2719 :
ukiwa na 40M, usikope mkopo wa 100M... unapokopa hakikisha capital yako ni kubwa kuliko mkopo wako.... ili usije ukalaza watoto stand..😊😊
2026-06-12 14:56:08
73
Miss Carter :
First of all 😅 Atukukopeshi M100 ukaanze biashara LAZIMA uwe in rotation kwanza nyumba sio kigezo Pekee Cha Kukopea
2026-06-12 13:14:20
42
YURI_SONGORO :
Sitaki kabisa kukumbuka aisee maisha ni safari sana
2026-06-12 13:01:47
37
SWEETHEARTS_VIJORA :
ILA MIKOPO😂💔NDIO MANA IKAITWA MIKOPO NA SIO MICHUPA😎
2026-06-12 17:27:19
21
chrisant j4m35 :
ni kawaida kwenye biashara watu tunakosea ili tujifunze..... usiogopesh watu
2026-06-13 12:09:00
5
Salum Fahad Jr :
wanaofeli wengi wanafeli sababu wanakopa na kuingiza pesa kwenye biashara mpya wasioijua
2026-06-12 17:54:06
21
The_One_hair🌹 :
Gauni zuri sanaa.karibu 🙏
2026-06-12 13:16:32
8
Baby yuuh 🛍️ :
Mm naonag mtu akiw ameajiriw sehem analipw ml 1 abakiiii ukooukoooo…uku nje biashara zinaleta uchiziiiiii😂lkn ss ukikutaa waajiriwa wanavoona kama wafanyabiashara wanafaidi wanaelaaaaa kumbe hawajui
2026-06-12 10:21:50
17
user13227028500104 :
unajua lazima uwe na biashara nyingine isaidie iyo unayokwenda kuchukua ,China visaidiane
2026-06-12 09:14:08
10
Jen_nifer 🦋❤️🦋 :
ndo maana nilitumiaga hela yangu niko na amani kabisa nipate nikose fresh 😂
2026-06-12 19:04:12
5
NATHANI JONATHANI :
HUWEZI KUMUELEWA KAMA HAYAJAKUKUTA
2026-06-12 13:31:54
5
Sally :
Jaman jaman🥹🙌🙏
2026-06-12 10:32:54
6
NDIGWA HARDWARE ♐️ :
Me on process….😁😁
2026-06-12 14:25:08
0
Rally Addict :
silent ocean hawana baya
2026-06-12 13:02:12
0
NAIOTH PUGU :
:the wages of sin is death. Death here is eternal separation from God and that's in hell where sinners will face the full wrath of God.
2026-06-12 20:46:10
0
TOBE-ELECTRONICS :
bank gan inakupa hela uanze biashara? 😂bank haikukopeshi sababu una nyuma, bank inakukopesha sababu unaitaj ongezeko la pesa mfano mkopp kuanzia 50M lazima auditor aje ajilizishe na taarifa zako za kibiashara ziwepo kuona kama unakidhi regardless una nyumba au huna
2026-06-12 13:02:45
23
kipande JR :
alafu mkopo sijuw kwanini inakuwa kama wachaw mambo yakianza kufel ndio wanakuja wanaume mademu uwaon kuna boss wangu aliniuzia Pikipik laki mbili oya mikopo noma
2026-06-12 10:37:31
8
user3497132777488 :
hukopi mkopo kuanzisha biashara brother unakopa kupanua biashara.
2026-06-12 13:24:07
9
jack umeme :
biashar mzuri kusimulia,fanya sasa
2026-06-13 17:42:19
1
Charlie Gypsum Design.tz :
mfano nikasema nikachukue mkopo million 20.
siku simba au yanga anacheza na kitimu chochote kile kdg hapa tz.
afu nikaweka hyo ela yote
hata kama yanga kapewa old 1.50 maana yake apo nikila nakuwa na milioni 30.
nawaludishia 20 yao mi naendelea na maisha yangu kwan haiwezekan au nazngua
2026-06-12 22:44:14
0
NYAROMBO :
kabisa kaka
2026-06-12 15:00:23
2
To see more videos from user @mwanza_phonestore, please go to the Tikwm
homepage.