@ashmar_quotes: SUBHANALLAH🥺🥹. Assalaamu Alaykum Warahmatullaahi Wabarakaatuh Kwa mwendelezo wa programu mbalimbali zinazoletwa kwenu na FAZULMAR AID FOUNDATION, bado tunaendelea kuhimiza kheri, usafi na mshikamano wa Ummah kupitia mradi wetu muhimu wa "Ndala Msikitini", ambao unalenga kuweka ndala mpya pamoja na vifaa vya usafi kwa ajili ya kutunza mazingira ya misikiti yetu na kuhakikisha usafi unaimarishwa katika nyumba za Allah. Allah (Subhaanahu Wa Ta'ala) anasema: ﴿وَأَنفِقُوا مِن مَّا رَزَقْنَاكُم مِّن قَبْلِ أَن يَأْتِيَ أَحَدَكُمُ الْمَوْتُ﴾ "Na toeni katika yale tuliyokuruzukuni kabla hayajamfikia mmoja wenu mauti." (Qur'an 63:10) Pia Mtume ﷺ amesema: "مَا نَقَصَتْ صَدَقَةٌ مِنْ مَالٍ" "Sadaka haipunguzi mali." (Imepokewa na Muslim) Na Allah (Subhaanahu Wa Ta'ala) amesema: ﴿مَن جَاءَ بِالْحَسَنَةِ فَلَهُ عَشْرُ أَمْثَالِهَا﴾ "Atakayefanya jema atalipwa mfano wake mara kumi." (Qur'an 6:160) Tunakuhamasisha kushiriki katika kheri hii kwa kuchangia kupitia namba rasmi za taasisi: 📱 M-Pesa: +255 798 317 948 (JINA: ASHA HUSSEIN) 📱 Airtel Money: +255 664 557 948 (JINA: OMAR ALI) 📱 HaloPesa: +255 622 446 173 (JINA: AGNES JOSEPH) Mchango wako unaweza kuwa sababu ya kupata ujira unaoendelea mbele ya Allah, huku ukichangia usafi na utunzaji wa misikiti yetu. Sambaza ujumbe huu kwa wengine ili nao washiriki katika kheri hii na wapate fursa ya kujipatia ujira. FAZULMAR AID FOUNDATION – Pamoja Katika Kheri. #fyp #mawaidha #follwmypage #viralvideo #trendingvideo @TikTok @tiktok creators @MUKAMMIL ISLAMIC FOUNDATION @Fazulmar Aid Foundation