@mmwtv5: Tembea uone😂🙌 #fyp #tiktoktanzania🇹🇿 #fypppppppppppppp #creatorsearchinsights #tiktokkenya🇰🇪

MMWTV🇹🇿
MMWTV🇹🇿
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 13 June 2026 05:56:21 GMT
34167
1447
131
82

Music

Download

Comments

irenedeccoo
Irene Deccoo/home plans :
Hiyo namba `T 304 CC1` mkuu Iko hivi 'CC` kwenye namba za magari ya Tanzania inatumika kwa *magari ya Balozi na Mashirika ya Kidiplomasia* — Consular Corps / Corps Diplomatique. Kwa hiyo `CC1` kwa kawaida ni gari la namba 1 la ubalozi fulani. Mara nyingi ni la Balozi Mkuu mwenyewe. Ndio maana Land Cruiser V8 nyeupe iko na "VIP"
2026-06-13 13:43:03
102
barikieljohnny342
𝔹𝕒𝕣𝕚𝕜𝕚𝕖𝕝 :
Hiyo ni namba ya gari ya Kidiplomasia (Diplomatic/Consular Plate) hapa Tanzania. Inatumiwa na magari ya ubalozi au maafisa wa kibalozi wanaowakilisha nchi zao au mashirika ya kimataifa nchini. Maana ya herufi na namba hizo kwenye bango hilo ni kama ifuatavyo: T: Inasimama badala ya Tanzania (kuonyesha gari imesajiliwa hapa nchini). 304: Hii ni namba ya utambulisho wa nchi au shirika la kimataifa ambalo ubalozi huo unaliwakilisha (kila nchi ina namba yake maalum iliyopangwa kialfabeti au kwa utaratibu wa Wizara ya Mambo ya Nje). CC: Inasimama badala ya Consular Corps (ikimaanisha gari hili linatumiwa na Ofisi ya Balozi Mdogo / Maafisa wa Kibalozi). Kama lingekuwa la Ubalozi Mkuu mara nyingi hutumia CD (Corps Diplomatique). 1: Hii ni namba ya usajili wa gari lenyewe ndani ya ubalozi huo (kwa kawaida gari namba 1 huwa ni la mkuu wa ofisi hiyo au afisa mwandamizi).
2026-06-13 21:05:53
3
_d.eric
deriï :
hio gari ni ya consular corps basically mambo ya diplomats kama sikosei
2026-06-13 20:17:10
2
heneshi___
I'm Henry 🪽 :
wasomi HI 😅
2026-06-13 19:49:16
2
uda88885
Island boy 🎭 :
jaman tusome jaman tusomeee
2026-06-13 18:35:54
12
abubakryally
Abby Wheels 🚔🚨 :
The Bluetooth device is connected 😂😂😂
2026-06-13 08:16:42
4
rest7060
rest :
wizara mambo ya ndan🥰
2026-06-13 19:59:15
1
kelvin_mveti
kelvin_Mveti :
Which country?
2026-06-13 13:06:11
3
raphaelmikkelsen
Raphael Mikkelsen :
Hii mpya sasa watu wanajiamulia mambo😂
2026-06-13 12:23:25
10
sagaamwagiaa0
Peter Spana :
Lakini Niliambiwa somaaa🫰🫰😎🤏🫸🫸🫸🫸🫸
2026-06-13 18:51:12
1
user2049412223584
Smartdj bong :
ccm
2026-06-13 13:18:34
2
badboyhd776
beckarobisoncreme :
hapo bila msaada wa comment usitegemee utapa comment unayo itafuta
2026-06-13 20:05:21
1
onesmo.ntagela
DAR TO KASULU, 144 :
wizara ya mambo ya ndani🔥
2026-06-13 13:20:49
4
mrcreated1
Rk Raj :
kujiamulia mambo😂😂😂😂
2026-06-13 15:49:37
1
stewardpatrick980
Sp@ j :
ccm no1
2026-06-13 16:55:01
1
dennykazumba
Denny Kazumba :
device connected 😂😂
2026-06-13 07:32:25
1
rojomzzzz
rojomzzzz :
😁😁 CC1 tena
2026-06-13 12:33:48
1
allygilbetkajange
ylla,,,,ngasalaa :
gusa unase
2026-06-13 12:58:30
1
user2871256052405
Hajuq brown :
Ahaaa😆😆😆😆 siomchezo
2026-06-13 10:42:49
4
fanuel_fml
Mr. Why ¥ :
Mi ata sijaelewa kitu apo
2026-06-13 09:48:59
1
To see more videos from user @mmwtv5, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About