@focustvtz: Shopping Mall ya Kwanza ya Kifahari yafungua Ukurasa Mpya wa Maendeleo Iringa. Mkoa wa Iringa rasmi unaingia kwenye ukurasa mpya wa maendeleo, fahari, na urahisi wa maisha, ambapo Kwa mara ya kwanza kabisa katika historia ya mkoa huu, milango ya ununuzi wa kisasa imefunguliwa kupitia Shopping Mall mpya ya kisasa na ya kiwango cha juu. Mall hii mpya na ya kipekee imekuja kuwapa wana-Iringa uzoefu wa kipekee wa ununuzi ambao walikuwa wanaufuata mbali. Mall hii inapatikana ndani ya Manispaa ya Iringa, kwenye jengo la Asas Tower, karibu na Karakana ya Toyota na Ofisi za Njombe Express. Iringa Shopping Mall ni mahali ambapo ubora unakutana na unafuu wa kweli, na thamani ya Pesa Yako inaonekana Wazi kwa manunuzi ya Heshima. #FocusTVTanzania