@imperialpharmacytz: KARIBUNI IMPERIAL PHARMACY Tunatoa shukrani za dhati kwa wote waliohudhuria na kuunga mkono hafla yetu ya ufunguzi rasmi. Uwepo na sapoti yenu umetupa nguvu ya kuanza safari yetu ya kuwahudumia kwa ubora, weledi na uaminifu. 📍 Tunapatikana: Dodoma, Makulu Oysterbay, Barabara ya UDOM Huduma Zetu: 💊 Dawa za matibabu zilizoidhinishwa 🩺 Vifaa tiba vya ubora na uhakika ✨ Vipodozi vya ubora kwa matumizi ya kila siku 👨‍⚕️ Ushauri wa kitaalamu wa afya 🕒 Saa za Kazi: ⏰ Kila siku | Saa 1:00 Asubuhi – Saa 6:00 Usiku 📞 Mawasiliano: +255 687 802 508 #creatorsearchinsights

Imperial Pharmacy Tanzania
Imperial Pharmacy Tanzania
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 13 June 2026 08:09:58 GMT
54281
2299
82
338

Music

Download

Comments

vagashappnecy
happnecy_vagas :
hapa nitapata panadol za buku kweli????
2026-06-13 08:26:29
15
ms_.jada
Jada🌸 :
Huyu dada mlomuajiri wala hamjakosea asee alikuwaga pharmacy moja hvi maeneo ya huko huko asee kanahuduma nzuri haka kadada jaman 🥰
2026-06-15 16:39:51
3
lifewithphen
TipsNaPhen :
living Dream😏
2026-06-14 16:44:55
1
thomas.spotfx
Thomas.Spotfx :
Pharmacy imenyooka.. congratulation 👏👏
2026-06-13 20:24:50
8
kipanya.buku
Emmanuel kipanya :
Hongereni ongezeni muda wa huduma iwe 24hrs ingependeza zaidi
2026-06-15 18:23:39
1
blaster987
Blaster :
looking good
2026-06-14 06:28:12
2
veronicer5
Veronicer🍀🩵 :
Hv kwa nn pharmacy hazitumii bima jmn😭😭😭😭
2026-06-14 06:12:33
8
tinner564
mrs.mfupa :
Naomben kaz jmn ya pharmacy technician
2026-06-14 12:45:26
1
apk4639
Mr Kamuntu😇 :
24hr inapendeza zaidi
2026-06-14 09:31:50
2
kisererajaphet
kisererajaphet :
watu wanawekeza jmn
2026-06-14 07:37:50
2
agripinadangala
Pinna :
hongereni nimependa bisnes name🥰
2026-06-14 10:05:44
1
its.me97804
it's me🤫 :
watu wanahela jamaniii
2026-06-14 07:27:07
1
g_.chui.9667
Young G :
nataka Panadol za buku, mnafanya delivery nipo dar
2026-06-14 04:39:57
4
sadriii02
Sadriii 🦋💕 :
mie naomba kazi 🫣
2026-06-13 18:22:52
1
williqmwinnie79
winnie🥰 :
woooo hongera kaka angu ,tupo pamoja 🥰
2026-06-13 18:49:33
3
matildernambuo
Matildernambuo :
wamiliki wa Imperial soap😅🥰
2026-06-15 09:00:45
1
paschal.karokola
PaschalMp :
kujieleza na nini.. ni pharmacy au dispensary 😂 mmeanza kujiamulia mambo
2026-06-14 07:59:43
0
neydacute1
ney :
naombeni kazi as pharmaceutical technician am full lincenced,,natumaini uwezo na uzoefu wangu utaleta matokeo chanya kwenye taasisi🤗
2026-06-14 14:15:41
0
winfrida.mjema
Mjemawinee :
nitamini siku moja na mimi🥰🥰🥰
2026-06-13 18:32:13
4
drsalama6
Salama Rama :
Ajira sipati jaman🙏
2026-06-13 17:58:31
3
drkaswaga
Dr_Kaswaga :
Masha ALLAH.. Hongereni
2026-06-14 07:16:07
1
dawaleo
Pharmdawa :
Hatari🔥
2026-06-13 17:32:45
1
frankleo318
Dr Leo :
Soon.... congratulat chief
2026-06-13 09:06:28
2
me__and_u_
🥂Mimi🌤️ :
Mariam 🥰 very humble as always🩷🩷
2026-06-13 14:59:31
4
cute.dolly234
cute dolly❤️🫂 :
Naomba nafasi ya pharm technician
2026-06-13 18:38:14
2
To see more videos from user @imperialpharmacytz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About