@pastorgeorgemukabwajrc: Kila mlango unaofunguliwa una matokeo yake. Ndivyo ilivyo pia katika ulimwengu wa kiroho. Katika somo hili nimeeleza baadhi ya milango ambayo inaweza kuathiri familia na vizazi, pamoja na tumaini ambalo tunalo ndani ya Yesu Kristo kwa ajili ya ukombozi na urejesho. Usikose mafundisho haya muhimu. Tazama mahubiri yote kwenye YouTube na ushiriki na wengine ili nao wabarikiwe. Mungu akupe neema ya kutembea katika uhuru na ushindi.