@aishatz25: kaburi humbadilisha mtu. hata kwa kusimama ndani yake kwa muda mfupi hufanya moyo ufikiri tofauti. Giza,Ukimya, Hisia ya kuwa peke yako inakukumbusha kwamba Vyeo, Utajiri, Hadhi na kiburi vyote huishia hapo. Ya Allah Atujalie Mwisho mwema Inshaallah🤲🤲