@festongadaya: Je unajua unaweza kupata matibabu kwa kutumia kadi yako ya NSSF? Huduma ipo karibu nawe. #tanzaniantiktok #swahilitiktok #kenyantiktok #kenyantiktok🇰🇪 #tanzania

Festo Ngadaya
Festo Ngadaya
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 13 June 2026 15:15:01 GMT
47752
1286
67
282

Music

Download

Comments

rashid.mkmb
Rashid Mkmb :
unakwata pesa kwa salio la Nssf,?
2026-06-14 08:38:51
4
florahkahatano
nyakato :
sisi wa pssf je ??????
2026-06-14 11:31:54
0
ejmitti
Introvert_AP24🇹🇿🇷🇼 :
Application yao inazingua sana
2026-06-14 07:05:34
1
freelanser556
❤️💧 :
Je kwa wategemezi wangu natumia kadi hiyo hiyo?
2026-06-14 09:30:20
1
lizybeth432
lizybeth :
Hapana mm ni mwanchama lkn cjwai pat hii huduma
2026-06-14 12:55:30
0
iloveworshipgod
I love worship god 🙏🙌 :
mimi application yao inanigomea kujiunga sasa sijui shida nini?
2026-06-14 08:46:10
0
brayanfaustin
Goldenboy😇 :
thank bro
2026-06-14 05:53:02
1
fungogodlove
FungoGB :
Hii ni Kenya au?
2026-06-14 04:23:59
1
officialmarthag1
Martha G :
Hii hapa
2026-06-14 05:53:28
1
user4126181811886
annalitos :
kwa Dar es salaam, hospital zipi wanakubali hiyo bima ya NSSF?
2026-06-14 12:35:30
0
mrs.muu669
saary :
watoto mwisho umri miaka mingapi
2026-06-14 08:35:30
0
josephatjunior
Jr son ❤️💖🤦‍♂️✍️ :
tofauti na Bima ya afya je kupata nyumba inawezekana
2026-06-14 10:38:43
0
jerrymvp_
Jerry MVP :
Kwenye Afya NSSF salute sana. Issue ni kwenye kuzipata hela zangu. Kwa nini nisubiri mpk umri wa kustaafu ili nipate pesa yangu ikiwa nitaamua kuacha kazi! Angalau wangekuwa wanatoa ile 10% yangu, then hiyo 10% nyingine ya muajiri ndio ikaingia kwenye pession ya uzeeni. Not fair at all
2026-06-14 05:50:49
3
tony_sylva28
tony_sylva28 :
Kwa hiyo ela ya kutibu wanakata kwenye izo izo ela zangu za nssf?
2026-06-14 06:26:05
1
ladynaomi87
KimNa361289 :
Nilikuwa mwanachama wa nssf nikatoka je naweza kujiunga tena??
2026-06-14 07:18:19
1
abuu_taymour
kimosa :
kaka nilikua natumia nssf na sasa nimehamishiwa pssf, still ile hela iliopo nssf siwez kuitoa mpka nistaafu?
2026-06-14 06:04:07
2
ednagodson7761
Edna Godson :
siwapendi NSSF nawachukiaa sanaaaa
2026-06-14 07:28:50
1
piuc_tx
JOA :
kaka Mimi ni dereva bajaji na nilikua nawaza kujiunga hili swala likoje na mm Niko Zanzibar sijajua kama zipo huku?
2026-06-13 15:41:32
1
zennyabdallah
zennyabdallah :
Bima zenu zinashida hii ya kuchagua hospital
2026-06-14 05:29:03
2
ms_samia8
Samia_M☯️ :
Mmh nakumbuka kuna ospitali nilienda alikuja mzee akakataliwa na hio kadi
2026-06-14 06:15:29
1
neylimo
Neema lyimo :
kipengele ni kutumia hospital moja tuuu
2026-06-14 06:10:01
1
dullahtameer
dullahtameer :
Kwanini baadhi ya watu application ya nssf haionyeshi kiasi cha pesa ulizokua nazo wakat mwanzo ulikua unaona.
2026-06-14 06:29:14
1
officialmarthag1
Martha G :
Hi hapa mpaka usajiliwe kwenye hospital 1 mie ndio inanikera
2026-06-14 05:54:10
1
mkizungozy
Senkyz :
Tatizo la NSSF ni hicho kipengele cha kuchagua hospitali, hakifai kwa sababu kuna kusafiri na pia huduma za hospitali zinabadilika
2026-06-14 03:07:45
1
favored493
Your fav🌺🧚🏻‍♀️ :
Tatizo hawataki tueke wazazi😫
2026-06-14 07:20:18
0
To see more videos from user @festongadaya, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About