@gugocarz: Jinsi ya kutunza engine ya gari yako mara baada ya kuliwasha 🔑 #cartips #magarimazuri #tiktoktanzania🇹🇿 #elimu #swahilitiktok

GUGOCARZ🇹🇿
GUGOCARZ🇹🇿
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 14 June 2026 05:27:33 GMT
70420
3002
52
142

Music

Download

Comments

amazingvoice24
Ray Mwikuka.( AmazingVoice24) :
kama gari sio yangu je?
2026-07-21 13:15:32
1
mugezi.dr
Mugezi Dr. :
Nadhan kwa magar ya sasa oil inachukua muda mchache kufika kila sehem ya engine ndani ya nusu dakika. kusubiri RPM ishuke n kwa lengo la kuhakikisha engine imefikia joto ambalo ni OPTIMUM kwa ajili ya smooth and maxmum performance with efficient fuel consumption ya engine na hapo engine inakuwa tayar kwa ajili ya kuendesha hata kwa high RPM. Sikuizi pia inashauriwa unaweza washa gar baada ya nusu dakika anza kuendesha taratib ili engine ipate joto haraka kuliko kusubiri mpaka joto lifike juu lenyewe.
2026-06-14 07:47:42
8
eng_amos
@Eng_amos :
Je kama gari haishiki silence
2026-06-14 06:36:49
2
user7347230313868
tendeni ibada :
amuna unachobjua
2026-06-14 09:53:40
0
mackbrand66
MackBrand :
kama dashboard haina Rpm
2026-06-16 17:46:03
1
henrynjenga378
cananistaelica :
good idea
2026-07-11 01:01:50
0
jimmylemahdecorpainter
26 JIMMY LEMAH DESIGN 🧱 :
sahihi
2026-06-14 14:06:50
0
user3814090000905willy
Willison46 :
safi kabisa
2026-06-14 14:49:23
0
shakira.omondi
shakiraomondi :
thank you 💕
2026-06-25 12:19:15
1
mzee.wa.ngoto
Mzee wa ngoto :
je kuna dereva niliwahi kumuona akiwasha gari akiwa amekanyaga accelerator ili kuipa support engine je ni sahihi?
2026-06-24 17:34:02
0
luke_mi7
Luke Mi..! :
hili nalo nilikua silijui
2026-06-14 09:59:17
0
dorahpassing2
dorahpassing :
sawa mwalimu
2026-06-25 09:05:22
0
officialphina297
@officialphina2 :
haraka inatuponza aisee
2026-06-25 16:59:21
1
princessfeona
The seed of GRACE ❤️❤️. :
Ndio ndio
2026-06-26 14:40:52
0
the_realmafia770
FRANK 🌴 :
Au sio kwaiy umeona kuongezeka ni bigdeal san et 😁
2026-06-25 07:49:22
0
me681097
me :
Alapiemu ndo nin
2026-06-25 13:29:02
0
user3814090000905willy
Willison46 :
bro unapatikana dar et
2026-06-14 14:52:11
0
user3814090000905willy
Willison46 :
hv harrier tako ranyani bei gan tajili
2026-06-14 14:57:45
0
capt..kombe
Capt. Kombe :
umetisha mwalimu
2026-06-24 23:17:18
0
qauchaboy
Quacha :
labda sio jayfong
2026-06-23 18:52:16
0
yokigainvestment
king kigah 004 :
nakubal dereeee
2026-06-28 19:08:09
0
shadc.mzember119
@Shad :
kwaa wale wanaotumia ambulance awasubili muda uwoo 😅😅 mwendo waa faster
2026-07-22 17:47:38
0
user4710656237591
user4710656237591 :
Huwa nafanya hivyo, pia naangalia mshale wa temperature upande.
2026-07-10 14:26:59
0
gdon6754
Gédéon :
kweli kabisa
2026-07-04 10:44:20
0
sabaskishevo
sabaskishevo :
had pkp
2026-06-14 10:20:51
0
To see more videos from user @gugocarz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About