@chiefgodlovebillionaire_: Mwanamke hakupaswa kufanya kazi wala biashara alitakiwa kufanya kazi ya kumuhudumia mumewe sababu mumewe ndie biashara yake na hata akifanya biashara au kazi pesa anazopata anatakiwa kuhudumia wazazi wake na sio watoto au mwanamke kununua chakula nyumbani anakoishi na mumewe siku mwanaume atakaporuhusu mwanamke alipe kodi ya nyumba anunue chakula ajihudumie mwenyewe alishe watoto wako pamoja na wewe mwanaume ulishwe na mkeo ajinunulie nywele kucha ajinunulie gari pia utatakiwa uruhusu akuletee watoto wasiokua wakwako nyumbani kwako kumbuka Adam alivyolala hawa akaamka na njaa akaenda kushawishiwa na nyoka ale tunda mungu alilokataza wakafukuzwa eden mwanamke ni mpokeaji mtumiaji sio mtafutaj Wapeni wanawake zenu pesa msije laumu watu shauri zenu mwanamke ni Kama ua anatakiwa kuhudumiwa

CHIEF GODLOVE
CHIEF GODLOVE
Open In TikTok:
Region: UG
Sunday 14 June 2026 12:35:03 GMT
7627
763
22
3

Music

Download

Comments

chiefgodlovebillionaire_
CHIEF GODLOVE :
This video doesn’t break the rules
2026-06-14 12:40:07
1
edd_787k
Edd :
hey bro
2026-06-14 13:06:53
1
mozelo.didia
Mozelo 👿Boy Alone :
your right,Niko 🇺🇬 nataka hela
2026-06-14 12:45:30
0
tajirimtoto777
1111 🌠 :
Master mind🔥🔥
2026-06-14 12:46:13
0
user1794953306030
user1794953306030 :
vip
2026-06-14 15:51:44
0
danielisanjaro
Danieli Sanjaro tz45 :
saw kk
2026-06-14 13:10:17
0
nasma.bomboro
Brave🎀heart 🇴🇲♥️🇹🇿 :
tunafnya kaz kwasababu nyie mnatuzarau sana au mnatuacha tukiwa watupu hatuna pakwenda
2026-06-14 16:27:58
1
khalifaamri66
CHIEF KHALIFA :
huo ndo ukweli chief
2026-06-14 17:52:18
0
wizabulambumagash
Wizabulambu Magashi :
Ameandika Msanii wa Filamu Rammy Galis ✍️"Nilijifunza kuwa MASIKINI ana kelele nyingi ili aonekane TAJIR , lakini tajiri wa kweli ana ukimya mwingi kwa sababu hana cha kuthibitisha kwa yeyote yule . . Kufanikiwa hakuji kwa kupiga kelele mitandaoni au kuvaa dhahabu ili kila mtu aone. ”Inakuja pale unapoweza kukaa meza moja na watu wanaotafuta mia tano na ukawa heshimu . . Mafanikio yako ni SIRI , wape watu matokeo ili wakijiuliza umewezaje, umepataje, umefanyaje ndio yawe maswali yao moyoni na Hilo daima watakupa heshima usoni . .Usipo heshimu 💰 ndogo , Ukipata kubwa UTAPOTEZA." F.O - RAMMY Galis
2026-06-15 09:27:55
0
lukasshamis
LUKASS hamis :
kweli kaka
2026-06-14 16:25:47
0
fazir.mussa6official
FÄZZY_ BÏSHÖÖ OFFICIAL 🤟🧋🌍 :
👍👍👍
2026-06-14 12:50:11
0
paula.kahambu
Paula Kahambu :
🥰🥰🥰
2026-06-14 22:25:43
0
muuh927
muuh💫 mr cash :
🔥🔥🔥
2026-06-16 06:22:44
0
mr_logistics
Mr logistics ✅ :
🔥🔥🔥
2026-06-14 17:28:16
0
user9250400962651
Iano mwas :
🥰🥰🥰🥰
2026-06-15 14:06:49
0
mwalami666
It’s Me Mwalami🌹 :
🔥🔥🔥🔥
2026-06-14 18:48:56
0
user203916087129yoniyoni
Ally boy :
🥰🥰🥰
2026-06-15 14:49:05
0
fazir.mussa6official
FÄZZY_ BÏSHÖÖ OFFICIAL 🤟🧋🌍 :
😁😁😁
2026-06-14 12:50:11
0
mzungu_store_outfits
MZUNGU :
💯💯💯
2026-06-14 12:40:58
0
sam.chamiti
Sam Chamiti :
🙏🙏🙏
2026-06-16 09:53:04
0
To see more videos from user @chiefgodlovebillionaire_, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About