@airtanzania: ATCL ikiandika historia nyingine kwa kutua katika Kiwanja cha Ndege cha Musoma na kukaribishwa kwa zoezi maalumu la water salute kwaajili ya kufanya majaribio ya kutua na kupaa kwa ndege (Test Flight). Waziri wa Uchukuzi Mhe. Prof. Makame Mnyaa Mbarawa akiwa mgeni rasmi wa tukio hilo ambapo ni hatua muhimu katika kuimarisha usafiri wa anga na kuchochea maendeleo ya kiuchumi nchini. Hafla hii inaonyesha dhamira ya Serikali ya kuendelea kuboresha miundombinu ya usafiri na kuongeza fursa za usafiri salama, wa uhakika na wenye kuunganisha Watanzania zaidi.
very disappointed today with the flight TC 212 going to Lusaka / harare..5 hour delay without any compensation . not even assuring customers to offer discounts on the next booking . very poor service..5 hour delay without any genuine reason and they just say sorry ..
2026-06-16 12:53:25
1
Ms luciie❣️🇹🇿🇵🇱 :
final home sweet home 🥰🥰🥰
2026-06-16 12:24:10
0
Loveness passionate♓️ :
Tumefikiwa sasw
2026-06-16 15:48:11
0
Ananias Muga :
munanunua ndege lini
2026-06-14 12:49:29
0
fatma mtudi :
😳😳😳
2026-06-15 09:40:51
0
Vilmah Signature Travel :
🥰🥰🥰
2026-06-16 10:00:47
0
To see more videos from user @airtanzania, please go to the Tikwm
homepage.