@veriafya: Wewe huwa unatumia siku ngapi kusamehe au kusahau mambo yaliyokuletea maumivu kwenye Maisha yako? Dkt. Garvin Kweka, Bingwa Bobezi wa Magonjwa ya Figo na Mkufunzi wa Magonjwa yasiyoambukiza na Afya ya Akili anaelezea kuwa ni muhimu kujijengea uwezo wa kuhimili changamoto hizi kwani zinaweza kuathiri afya ya akili. Video: TAWCA