@veriafya: Wewe huwa unatumia siku ngapi kusamehe au kusahau mambo yaliyokuletea maumivu kwenye Maisha yako? Dkt. Garvin Kweka, Bingwa Bobezi wa Magonjwa ya Figo na Mkufunzi wa Magonjwa yasiyoambukiza na Afya ya Akili anaelezea kuwa ni muhimu kujijengea uwezo wa kuhimili changamoto hizi kwani zinaweza kuathiri afya ya akili. Video: TAWCA

Veriafya
Veriafya
Open In TikTok:
Region: FR
Sunday 14 June 2026 13:36:07 GMT
3910
119
3
15

Music

Download

Comments

hassanlishado0
Shomy shollah :
Daah ulikuwa kmya sana mkuu
2026-06-14 13:39:10
2
kapara617
k❤️k :
Amina
2026-06-14 14:56:00
0
mali17537
Mali :
Hakika umenena
2026-06-14 15:31:22
0
To see more videos from user @veriafya, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About