@abduli066zanzibar1: Huyu ni almarhum sheikh illunga hapa akizungumzia manyanyaso na mazila ya muungano wa tanganyika na zanzibar kumbuka huyu sheikh n mtangantika ajiyazungumza haya miaka kumi na zaid iliyopita mungu amrehem ...tuunganane kurudisha Zanzibar ilikuwa na mamlaka kamili inshallah 🙏
huyu mzee anajuwa na huyu ni mtanganyika anawaeleza ukweli
2026-06-15 13:19:17
10
Azhar msii :
Nafurahi sana kuona sasa hivi watanganyika ndo tunalia na muungano wakata wenzetu zanzibar waliukataa siku nyingi huko nyuma
2026-06-16 13:41:40
8
jei2 :
wabongo musiipuuze iyo jifinzen
2026-06-17 11:58:07
1
mussacharles7445 :
:Tunakoelekea ndgu zangu watanzania sio kuzuri mmeanza kuzungumzia udini udini ,sasa mmefika kwenye muungano Leo mpaka mawaziri wanaropoka tu haya ni mambo ambayo sio ya kunyamazia kwani mwisho wake ni mbaya tu siku zote kama Kuna mahara hapako sawa chukueni hatua viongoz mnaohusika Baba wa taifa alikataa haya mambo aliona kwamba sio mazuri yataligawa taifa na mwisho ni mateso tu kwa pande zote mbili nawaomba watanzania wenzangu tuwe tunafikiria kwa upana zaidi wanaochochea Leo nchi ikichafuka wao Wanapanda ndege hao ulaya sasa sisi wengine hatuna pa kwenda Zaid ya Tanzania tulitunze taifa hili kwa pamoja kwa kushirikiana na kuwa kitu kimoja na ili kizazi kijacho kikute nchi Iko salama kama sisi tulivokuta Iko Salam Mungu ibariki Tanzania na watu wake.
2026-06-16 21:46:04
0
Instructor Hamid 🚔 :
mzee huku Sasa mambo yamegeuka watanganyika ndo walalamikaji
2026-06-16 06:53:25
4
gadafi :
Ukweli haupinhiki
2026-06-17 13:52:37
1
Mr, unguja :
Tumechoka
2026-06-16 09:57:40
2
Sakhaal Ally :
bado mmoja kuna muungano aina tatu shekh mbn mmoja hautajwi sana
2026-06-16 21:04:42
1
braino.27 :
noma kweli😳
2026-06-17 22:07:56
0
Abdukason🇹🇿 :
💯👊
2026-06-15 10:07:39
1
Salim Alnadaby🇴🇲 :
😎😎😎
2026-06-16 17:30:05
1
Mwendo :
🥰🥰🥰
2026-06-17 18:24:30
0
To see more videos from user @abduli066zanzibar1, please go to the Tikwm
homepage.