@healthyfity1: Ushawahi kusumbuliwa na maumivu makali ya tonsillitis hadi ukashindwa kula au hata kuongea vizuri? Maumivu ya tonsillitis yanaweza kuwa makali kiasi cha kufanya shughuli za kawaida kuwa ngumu. Watu wengi hupata: Maumivu makali ya koo wakati wa kumeza Ugumu wa kula au kunywa Sauti kubadilika au kuwa nzito Homa na mwili kuchoka Kuvimba kwa tonsils na koo Maumivu yanayosambaa hadi masikioni Harufu mbaya ya mdomo Tatizo huwa kubwa zaidi pale linapojirudia mara kwa mara au linapoachwa bila kushughulikiwa mapema. Je wewe unasumbuliwa na dalili gani sana sana?? #sorethroat #tonsilitis

HEALTHY FITCLINIC  DR Geaz
HEALTHY FITCLINIC DR Geaz
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 14 June 2026 18:13:25 GMT
4644
49
3
4

Music

Download

Comments

tanyarichard7
Tanya :
dawa bei gani
2026-06-16 12:20:10
0
bahati.wilbard5
Bahati Wilbard :
Me ndio naon hivyo vimswe ck hiz msaad plz doct
2026-06-14 19:48:19
0
jacklinehoneytz
jackline :
ndio mm Kuna kinanikaba na nilimeza hakimezeki nisaidie
2026-06-14 18:31:29
0
To see more videos from user @healthyfity1, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About