Huenda siku moja nisiwepo hapa, lakini maoni yangu yataendelea kuwepo, na vizazi vijavyo vitayasoma. Hivyo nashuhudia kwamba hakuna mungu anayestahiki kuabudiwa isipokuwa Allah, na Mtume Muhammad (rehema na amani ziwe juu yake) ni mjumbe wa Allah ❤️. Yeyote atakayesoma hili, tafadhali uwe shahidi wangu Siku ambayo tutasimamishwa mbele ya Mola wetu. In shaa Allah. Mwenyezi Mungu atusamehe madhambi yetu, Ameen.”
2026-06-14 20:27:46
1
Silvester Kisingu :
🤣🤣🤣🤣
2026-06-15 02:28:24
1
To see more videos from user @doctor.sullemajin, please go to the Tikwm
homepage.