@abduli066zanzibar1: Watanganyika wanasema wazanzibar wanapata faida kubwa ya huu muungano kisa raisi na serikali ya zanzibar wao husema mbona wanataka serikali ya tanganyika..Sasa msikilizeni mtanganyika mwenzenu mwenye akil timamu kuhusu serikali ya zanzibar iyo mnosema zanzibar mbona wanayo tanganyika hamna ...je nyinyi Watanganyika mngekubali serikali kama ya zanzibar hii ?