Ukisikiliza ili ujibu hata ukielewa utajifanya hujaelewa
2026-06-17 04:20:15
6
ابتعد عن صاحب الهوى عن ضلالته :
Kwa mujibu wa madhehebu ya Imam Shafi‘i, suala la dua baada ya swala na watu kusema “Amiin” lina maelezo haya:
alisisitiza kuwa baada ya swala kuna adhkari na dua, lakini hakujulikana kwake kwamba Mtume ﷺ alikuwa akifanya dua ya pamoja ya kuinua mikono na waumini wote kusema Amiin baada ya kila swala ya faradhi kama utaratibu wa kudumu.
Wanazuoni wa Shafi‘i wameeleza:
Dua baada ya swala ni jambo linaloruhusiwa, kwa sababu dua kwa ujumla ni ibada.
Imamu akiomba dua na baadhi ya watu wakisema Amiin, hilo linaweza kuruhusiwa.
Lakini kuifanya kuwa sunnah maalumu inayofanywa kila baada ya swala kwa lazima hakujathibitishwa kutoka kwa Mtume ﷺ.
Katika madhehebu ya Shafi‘i, kilicho maarufu zaidi baada ya swala ni kusoma adhkari zilizopokelewa, kisha mtu anaweza kumuomba Allah dua zake mwenyewe.
2026-06-16 10:51:07
5
Bin Hemed Jr. :
Sio kwa pamoja lakini😁
2026-06-17 21:46:01
2
Umm mhamad :
Mungu akuzidishie ilmu
2026-06-16 11:19:24
6
Yaso masiku :
S/aleikum shekh mbona video zako azidanlodik
2026-06-16 06:47:53
2
ABU UNEYS :
Swahihi
Ila apindisha usahihi
2026-06-16 09:10:40
0
mrisho250 :
Allah akulipe kila la kheri
2026-06-20 03:38:04
1
Ali Badru Suleman merali :
Shukran Alhamdulilah
2026-06-17 15:50:42
1
BANDIT :
dhikri si amapiano
2026-07-13 07:33:30
0
Akhii :
wezesha tu download
2026-06-21 22:22:27
0
user2121024619960 :
MAA SHAALLAH
2026-06-16 10:37:00
1
salimojamailambassesalimojamal :
masha allah
2026-06-19 07:27:01
1
Daruwesh Ayoubu :
Unajua sana
2026-06-17 00:01:46
2
Mohamet1234 :
@ابتعد عن صاحب الهوى عن ضلالته:Kwa mujibu wa madhehebu ya Imam Shafi‘i, suala la dua baada ya swala na watu kusema “Amiin” lina maelezo haya:
alisisitiza kuwa baada ya swala kuna adhkari na dua, lakini hakujulikana kwake kwamba Mtume ﷺ alikuwa akifanya dua ya pamoja ya kuinua mikono na waumini wote kusema Amiin baada ya kila swala ya faradhi kama utaratibu wa kudumu.
Wanazuoni wa Shafi‘i wameeleza:
Dua baada ya swala ni jambo linaloruhusiwa, kwa sababu dua kwa ujumla ni ibada.
Imamu akiomba dua na baadhi ya watu wakisema Amiin, hilo linaweza kuruhusiwa.
Lakini kuifanya kuwa sunnah maalumu inayofanywa kila baada ya swala kwa lazima hakujathibitishwa kutoka kwa Mtume ﷺ.
Katika madhehebu ya Shafi‘i, kilicho maarufu zaidi baada ya swala ni kusoma adhkari zilizopokelewa, kisha mtu anaweza kumuomba Allah dua zake mwenyewe.
2026-08-18 15:04:14
0
sweetmami :
mashallah shukran
2026-06-16 14:32:22
1
AbuHussenovic AbaHabiba :
jazakallahu Kheyr Habibi
2026-06-17 16:38:06
1
javed :
naam naam
2026-06-16 11:12:38
2
ابتعد عن صاحب الهوى عن ضلالته :
Hii ndio madahebu ya Imamu Shafii
2026-06-16 10:46:05
3
Ibrahim Chuma :
maashaallah
2026-07-01 14:16:32
0
hamadsuleiman70 :
MashaAllah Allah atuonguze sote Amin Yarab
2026-07-09 11:24:42
0
ahmedjuma2008 :
Ndio manake ustadthi
2026-08-01 10:52:51
0
nassirmbwana273 :
be blessed
2026-08-29 19:18:49
0
shafk dauda dauda :
2026-07-18 19:22:54
0
الله اڪبر :
alhamdulillah
2026-06-17 05:18:18
1
To see more videos from user @jurashcontinuer, please go to the Tikwm
homepage.