sipendi kupigiwa cm zaid ya moja ukizidisha nakublock
2026-06-16 06:53:36
29
millydan1 :
kama namdai nampigia asipopokea naenda kwake staki ujinga 😅
2026-06-16 10:41:47
20
Suzie media and Entertainment :
mpaka izime charg
2026-06-16 12:25:43
2
TAHO Media Group (TMG) :
Ushauri wangu, usiwe unapigia simu watu hovyo bila sababu ya msingi, hii itapandisha thamani yako siku mtu anaona call yako anasema dah huyu jamaa kama amepiga basi ana issue ya muhimu hivyo lazima apokee, pending thamani yako