mfano nimeomba lift gari haijasimama na sio mas'hara hapo vipi?
2026-06-16 19:45:20
0
Bright Future Islamic Centre :
sheikh nauliza,
kwenye mkusanyo wa kucherewesha mfano swala ya maghribi na isha nazicherewesha nije kuziswali nikifika safari yangu mnamo saa 3 au saa 4 usiku.
sasa nikija nikifariki kwenye safari na bado sijafika safari yangu.
hukmu yangu nn mbele ya Allah?
2026-06-16 07:22:59
0
dullazo Ababy :
asante shekh
2026-06-16 16:13:51
1
To see more videos from user @babafaisal09, please go to the Tikwm
homepage.