@siasatz: "Anatubagua "Kambale, Sato". kauli za ubaguzi zinazoongozwa na Mawaziri namuomba Rais wa Zanzibar achukue hatua, Kauli ya waziri ni kauli ya serikali".- Joseph Kasheku (Msukuma) #SiasaTZ #SiasaZetu #TheShepherd30
wazanzibari wabinafsi sana,hata kam me mzanzibari ila huo nd ukweli
2026-06-16 11:55:17
55
fadhila :
safisana..
2026-06-17 02:25:24
0
abby sobhi🥰 :
m nnacho wapendea watanganyika hawaon wabunge wenzao wanapoongea ujinga
2026-06-16 10:35:09
35
saidimangorosho :
mbunge msukuma hao ni wabaguzi sana kama hawataki wavunje muungano kwanza wanatunyonya
2026-06-16 10:54:54
27
mbape7 :
sisi wazanzibar hatutaki muungano wanalazimisha tu na wawo wanajua hatutaki muungano
2026-06-16 11:23:16
22
ASTRO BOY :
Saivi Wazanzibari tumekuja kivyengine kuanzia sasa Wazanzibari tumejipanga kwa lolotee lile 💪💯🔥
2026-06-16 14:24:56
12
yunu :
iyo kweli mie ni mzanzibar lakin sis ni wabaguzi tuacheni
2026-06-16 20:03:03
10
zanzibar :
munawatibu bure au wanalipia
2026-06-16 10:47:35
9
Ali Mahmoud :
muungano ulikuwa mkataba miaka mitano ,hivi Sasa hakuna muungano , watanganyika mnalazimisha huo muungano
2026-06-16 11:15:14
9
👻 :
hatutaki mungano wa Zanzibar
2026-06-16 11:43:20
11
Maimuna Batare Kassim :
Huyo ndiye msukuma ninayemjua.
2026-06-16 10:37:08
17
Evans Moshi :
kuna mama hapo nyuma yamheshimiwa anatamani ata amng'ate😅
2026-06-16 16:46:18
8
MR LOGIC >< :
Sasa wanawezaje kujadili mambo ya Tanzania wakati wananchi yao ya ZANZIBAR
2026-06-16 12:56:33
5
EDON ZNZ TRADER :
hamuwalishi bure wala hamuwatibu bure emu vunjeni huo muungano msinganganie sehemu ambyo hamutakiwi Wazanzibar tunasema hatutaki muungano hatuna shida ya kuendelea kuungana na nyie
2026-06-16 12:02:50
7
Shawal :
wooooo
2026-06-16 18:33:59
0
. :
very intelligent man
2026-06-16 22:12:58
0
ifadatbakar :
very good msukuma
2026-06-16 15:41:57
0
ahmed juma :
mbunge kutoka pemba alieka karibu na msukuma anapiga meza kweli tutafika wazanzibari unasubutu kugonga meza dah
2026-06-16 10:41:32
5
Ghurayra :
dah kumbe elimu muhimu mpaka mbunge anaona ana baguliwa, tatizo lilipo anza serekali ya Zanzibar ilitaka kuekeza pesa nyingi kwenye vifaranga vya samak ambao ni hao kambare na sato ili wazalishwe Zanzibar, waziri kaja na hoja haiwezekani hio ni uharibifu wa pesa coz sie tumezungukwa na bahari na tuna samaki wakutosha na wazanzibar hawapendi samak wa maji baridi kwaiyo uwo mradi utaharibu pesa tu nataman nielezee kwa upana zaid ili watu waelewe
2026-06-16 11:15:23
6
Rakesh Bhai :
em twendeni 15/15
2026-06-16 20:37:11
0
nasma_hilal :
mbona sie wazanzibar hatulalamiki mukitubagua na mna panic mukisikia hatutaki muungano?
2026-06-16 20:29:03
1
A Ibrahim :
Zanzibar. uwemkoa tu wa Tz tumewachoka kwa maneno yao yakibabuzi
2026-06-16 15:21:36
0
cama tz :
mmbo ya znz ynawahus nn nyinyi sio muna bajjeti yenu na ss tuna yetuu vp.
2026-06-16 12:49:37
2
user2969385518005 :
kwa nn achukuliwe hatuwa kwani kakosea wapi waziri yupo sahihi sanaaa
2026-06-16 12:52:03
1
To see more videos from user @siasatz, please go to the Tikwm
homepage.