mbona mpaka leo akuna anaowataka zaidi ya serikali tu
2026-07-14 17:42:23
9
MZEE WA RAHAA :
muft apewe warid
2026-07-14 22:21:09
3
Sillalooh :
SHEKHE WETU tu naomba mngethibitisha kama kwel SHEKHE walid katenda kweli na mtupe ushahid tufaham 😳 imeniuma sana walidi kuwa na tuhuma nzito kiasi chichi
2026-07-15 18:48:03
1
haloo25 :
ni kweli hili baraza hatulitaki kwa mungu kesho mutakwenda kujibu nn maana ya bakwata na mutajibu
baraza lisha poteza mwelekeo pia wazee waachen wapumzike tafuten vijana tena wapigiwe kura msije mkachaguana bora ipigwe kura kuwachagua
2026-07-15 14:43:28
6
ZEDCO USED SPARE ENGINE USED :
nadhan wanaokataa sikwasababu ya kua masheikh wa Baraza hawana elimu Bali uadilifu. na kua tayar kujitolea kwaajili ya Uislam nadhan hio ndio shida wanayoiona.
2026-06-17 09:06:10
1
Sophia Msumi :
daaah walid🥰🥰
2026-07-15 16:24:36
1
Muntari Suleimani :
siasa hizo shekh mrudishee wald shekh wetu
2026-07-15 17:55:36
2
rahiyan :
hatuwataki kabisa wala hatuwafati
2026-07-15 06:07:09
3
mufti wa wete :
kwanin dhehebu moja linaongoza
2026-06-16 19:28:50
0
THANIY :
Kwann icho kipengele cha naibu mufti kikaondokewa?
2026-06-17 15:44:55
1
binsalim972 :
Hapa Nimeelewa Kitu, Pengine Wanataka Kumuweka Sheikh WALEED Kuwa NAIBU Mufti Kwa Siku za Badae
2026-07-16 07:00:47
1
Amour Al harth :
Tunamtaka sheikh walid omar kawambwa Dar es salaam basi
2026-07-15 18:16:07
1
❣️❤️gulderan nigeria❣️❤️ :
roh mbya t mmeona shekhe walid atakuw muft
2026-07-15 21:18:27
1
user7734999518246 :
mpka sasa hatulipendi
2026-06-18 05:50:04
3
masokolindo :
na vyeti vya ndoa atutaki viandikwe bakwata .
2026-06-18 17:41:18
2
Khadija Hemed :
nikwann alikataa
2026-06-16 20:43:16
1
mutlack :
cha hovyo kweli
2026-07-17 05:55:09
0
Mateva Mindlab hub :
huyo ni sheikh twaha suleiman bane alikataa kabisa