@styagl_:

styagl_
styagl_
Open In TikTok:
Region: ID
Tuesday 16 June 2026 12:17:03 GMT
2779
350
4
22

Music

Download

Comments

dhorobay
astusvaha id :
2026-06-16 20:36:58
0
bgmusic52
💫💫bg musik💫💫 :
😂
2026-06-17 00:48:11
0
bhayegkart
Bhayek Tattoo Art :
❤️❤️❤️
2026-06-17 18:36:24
0
To see more videos from user @styagl_, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

VIDEO: Mmiliki wa lori ambaye pia ni dereva, Khalfan Ndamo, amedai kushambuliwa kwa kipigo, kuporwa fedha taslimu Sh milioni 1.5 pamoja na kutishiwa kuuawa akiwa ndani ya Kituo cha Kuhifadhi Makontena (ICD) cha Farion kilichopo eneo la Sabasaba, Wilaya ya Temeke, wakati alipokuwa amefika kushusha kontena. Akisimulia tukio hilo, Ndamo alisema alikuwa ametoka Zambia baada ya kushusha mzigo na aliporejea nchini alipewa kibali cha kushusha kontena katika ICD ya Farion. Alisema aliwasili katika eneo hilo majira ya saa 11 jioni, ambapo baada ya ukaguzi wa kontena, yeye pamoja na madereva wengine wawili waliombwa kusubiri kwa madai kuwa kulikuwa na shughuli za upakiaji wa makontena bandarini. Kwa mujibu wa maelezo yake, baada ya kusubiri hadi usiku wa manane, mtu aliyejitambulisha kuwa msimamizi wa ICD hiyo aliwaeleza kuwa makontena yao hayangepokelewa na kuwataka waondoe magari mara moja. Ndamo alisema walijaribu kueleza kuwa kutokana na maadhimisho ya Sabasaba hawakuwa na sehemu salama ya kuegesha magari nje ya yadi, lakini maombi yao hayakusikilizwa. Alidai kuwa muda mfupi baadaye mtu huyo alipiga simu na kumuita mtu mwingine aliyefika akiwa na rungu. Mara baada ya kuwasili, mtu huyo alianza kumpiga tandiboi wake kabla ya kumgeukia yeye na kumpiga sehemu mbalimbali za mwili, ikiwemo mgongoni, mabegani na miguuni, hadi akaanguka chini. Ndamo amesema wakati akiwa hawezi kujitetea, watu waliomshambulia walimpekua na kuchukua Sh milioni 1.5 pamoja na kumpokonya baadhi ya nyaraka zake. Aidha, alidai walimtishia kuwa endapo asingeliondoa lori hilo ndani ya yadi angeuawa. VIDEO FULL IPO YOUTUBE YA CHAWAMATA TV. NB; Chawamata Tv tulifika mpaka ilipo ICD ya Farion tukafanikiwa kukutana na Meneja ambaye alijitambulisha kwa jina la Zawadi Seruhere naye alikiri kwamba ni kweli Khalfani Ndamo alishambuliwa katika ICD hiyo, lakini hakusema zaidi kwasababu anasema kesi iko polisi na polisi wanaendelea na uchunguzi wa tukio hilo. #ChawamataTV #10KFollowers #Asanteni #DarEsSalaam #Tanzania #Bongo #Habari #HabariLeo #BreakingNewsTZ #TanzaniaNews #BongoUpdates #TzUpdates #TzNews #BongoMedia #MediaTanzania #OnlineTV #TrendingTZ #TanzaniaTrending #ViralTZ
VIDEO: Mmiliki wa lori ambaye pia ni dereva, Khalfan Ndamo, amedai kushambuliwa kwa kipigo, kuporwa fedha taslimu Sh milioni 1.5 pamoja na kutishiwa kuuawa akiwa ndani ya Kituo cha Kuhifadhi Makontena (ICD) cha Farion kilichopo eneo la Sabasaba, Wilaya ya Temeke, wakati alipokuwa amefika kushusha kontena. Akisimulia tukio hilo, Ndamo alisema alikuwa ametoka Zambia baada ya kushusha mzigo na aliporejea nchini alipewa kibali cha kushusha kontena katika ICD ya Farion. Alisema aliwasili katika eneo hilo majira ya saa 11 jioni, ambapo baada ya ukaguzi wa kontena, yeye pamoja na madereva wengine wawili waliombwa kusubiri kwa madai kuwa kulikuwa na shughuli za upakiaji wa makontena bandarini. Kwa mujibu wa maelezo yake, baada ya kusubiri hadi usiku wa manane, mtu aliyejitambulisha kuwa msimamizi wa ICD hiyo aliwaeleza kuwa makontena yao hayangepokelewa na kuwataka waondoe magari mara moja. Ndamo alisema walijaribu kueleza kuwa kutokana na maadhimisho ya Sabasaba hawakuwa na sehemu salama ya kuegesha magari nje ya yadi, lakini maombi yao hayakusikilizwa. Alidai kuwa muda mfupi baadaye mtu huyo alipiga simu na kumuita mtu mwingine aliyefika akiwa na rungu. Mara baada ya kuwasili, mtu huyo alianza kumpiga tandiboi wake kabla ya kumgeukia yeye na kumpiga sehemu mbalimbali za mwili, ikiwemo mgongoni, mabegani na miguuni, hadi akaanguka chini. Ndamo amesema wakati akiwa hawezi kujitetea, watu waliomshambulia walimpekua na kuchukua Sh milioni 1.5 pamoja na kumpokonya baadhi ya nyaraka zake. Aidha, alidai walimtishia kuwa endapo asingeliondoa lori hilo ndani ya yadi angeuawa. VIDEO FULL IPO YOUTUBE YA CHAWAMATA TV. NB; Chawamata Tv tulifika mpaka ilipo ICD ya Farion tukafanikiwa kukutana na Meneja ambaye alijitambulisha kwa jina la Zawadi Seruhere naye alikiri kwamba ni kweli Khalfani Ndamo alishambuliwa katika ICD hiyo, lakini hakusema zaidi kwasababu anasema kesi iko polisi na polisi wanaendelea na uchunguzi wa tukio hilo. #ChawamataTV #10KFollowers #Asanteni #DarEsSalaam #Tanzania #Bongo #Habari #HabariLeo #BreakingNewsTZ #TanzaniaNews #BongoUpdates #TzUpdates #TzNews #BongoMedia #MediaTanzania #OnlineTV #TrendingTZ #TanzaniaTrending #ViralTZ

About