@chawamata_tv: VIDEO: Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma, ameitaka Serikali kupitia upya utaratibu wa kuwataka madereva wa magari makubwa kurejea darasani na kufanya mitihani kwa ajili ya kuhuisha leseni zao, akisema hatua hiyo inaathiri maisha ya madereva wengi na familia zinazowategemea. Akichangia bungeni, Musukuma alisema madereva wengi ni watu wa kipato cha chini ambao maisha yao yanategemea moja kwa moja kazi ya udereva, hivyo kuwalazimisha kukaa darasani kwa wiki kadhaa na kufanya mitihani kunawaweka kwenye mazingira magumu kiuchumi. Alieleza kuwa baadhi ya madereva wameendesha magari kwa zaidi ya miaka 30 bila kuwa na historia ya ajali, lakini bado wanatakiwa kurudi darasani, kufanya mtihani na kukabiliwa na hatari ya kupoteza leseni zao iwapo watafeli. Musukuma alisema hali hiyo inaweza kusababisha baadhi ya kampuni kusimamisha magari mengi kwa wakati mmoja kutokana na madereva kuwa masomoni au kushindwa kufaulu mitihani, jambo ambalo linaathiri shughuli za usafirishaji na uchumi kwa ujumla. “Dereva ameendesha gari miaka 30 hana historia ya ajali, hana tatizo lolote, ana familia zinamtegemea, unamrudisha darasani kusoma wiki tatu halafu ukimpa mtihani akifeli unamwambia arudi nyumbani. Hiyo si sawa,” alisema Musukuma. Mbunge huyo aliiomba Serikali kuangalia upya masharti hayo ili kulinda nguvu kazi ya madereva na kuhakikisha sekta ya usafirishaji inaendelea kuchangia ukuaji wa uchumi bila kuwawekea vikwazo visivyo vya lazima watendaji wake muhimu #ChawamataTV #10KFollowers #Asanteni#DarEsSalaam #Tanzania #Bongo#Habari #HabariLeo #BreakingNewsTZ #TanzaniaNews#BongoUpdates #TzUpdates #TzNews#BongoMedia #MediaTanzania#OnlineTV#RoadTo10#instagramtanzania#TeamChawamata #SupportLocal#TrendingTZ #TanzaniaTrending #ViralTZ#madeintanzaniawithlove
CHAWAMATA TV
Region: TZ
Tuesday 16 June 2026 13:45:37 GMT
Music
Download
Comments
Nyapala la makolo :
Bora tumeitwa muheshimiwa dereva asante mungu kilio chetu kimeanza kusikika
2026-06-16 15:45:30
20
chiza_man :
muheshimiwa atakama we ni Boss wangu naomba unywe soda popote nalipia Boss wangu 🙏
2026-06-16 19:07:21
11
daisy :
umenena big up sana
2026-06-16 19:41:30
1
Manyanda Msukuma. 🇹🇿 :
Hakili ya Msukuma mmoja. ni sawa na hakili ya wagogo 100.
2026-06-16 20:01:35
8
Sebastian Kalandi :
ubalikiwe mtumish wa mungu
2026-06-16 20:08:31
3
jumat6084 :
mungu akuone mxukuma una ongea ukweli
2026-06-16 18:47:29
11
user8675001307157 :
msukuma mungu akulinde wewe baba
2026-06-16 20:14:31
6
MASHI GANVA 🐕 :
mweshimiwa dereva
2026-06-16 19:19:54
3
johnbarnaba :
Eee mwenyez mungu wetu tunakuomba utulete wabunge kama hawa wanahwo tukumbuka ss tusiyo na wa kutusemeya ss
2026-06-16 15:32:13
6
nyeusi boy :
nimekubali sana m bunge wahambie
2026-06-16 20:09:12
2
LastyBorn 11 :
umetukumbuka kak🙏
2026-06-16 21:14:53
1
Mussa mfinanga :
Hawa ndio watu tuna wataka weldone muheshimiwa
2026-06-16 19:56:34
2
alexanderjacob379 :
pongezi kwa Msukuma
2026-06-16 16:40:19
3
evance meckson matemba :
yaan kaongea point sana
2026-06-16 18:29:32
2
THABEETH :
well talk sir🙏
2026-06-16 21:40:22
0
said said :
sawa kabisa mh
2026-06-16 19:14:45
1
Ashimu :
kweli baba sema
2026-06-16 18:55:30
1
laurenti kitaly :
kaka salut umetukumbuka san
2026-06-16 19:09:02
1
Kaduma Raymond@com :
mtetezi wa madereva ubarikiwe
2026-06-16 16:20:46
2
Yuda Mushi :
mungu akuongoze na akulinde muheshimiwa tunashukuru sana kwa kututetea
2026-06-16 19:03:08
1
shamtembo junior :
safi sana king msukuma
2026-06-16 19:11:30
1
7722@adamu :
kweli kabisa mkuu
2026-06-16 15:41:56
1
selemani kareem :
mueshimiwa mungu Akupe miaka 1000
2026-06-16 19:16:47
2
apo mzee ume nena sana sana
2026-06-16 19:27:36
1
Mc Maliyatabu :
Mubunge wangu ni msukuma tu
2026-06-16 16:53:49
1
To see more videos from user @chawamata_tv, please go to the Tikwm
homepage.