@user7717347668185: *Ikiwa Rohani wako humuoni tena katika ulimwengu wa njozi au uhisi uwepo wake sababu huwa ni weye kuingia katika maaswi au uovu na kuacha maamrisho ya Mwenyezi Mungu jambo la msingi kabla ya kufanya uradi huu kwanza ni weye kuachana na machafu kwanza kisha kumrejea mola wako na kufanya maamrisho yake kisha ndio ufanye uradi huu na sheria yake unatakiwa kufanya nyiradi hii kwa kujitenga katika chumba maalumu na iwe ni kuanzia nusu ya usiku na ufusheUban kandar tu ukimaliza utalala katika chumba hiko usiku atakuja katika njozi utamuona kuwa karejea