@said.bakarmwenezi: Mwakilishi wa wananchi Jimbo la Ziwani Mhe Moh'd Ali Salim akiwa katika uchangiaji wa bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2026/2027
mimi watanganyika nawashangaa wazanzibar hawak muungan mbona mnawalazimisha?? kwanini msivunje au kuna maslah binafs??
2026-06-17 04:07:45
12
Mrs nofel :
wabara kwa kulalamika lkn hawapungui vo Zaid ya kuzid hatuwafukuz ila pungueni kdg enjoy letu dogo
2026-06-17 05:59:17
5
car :
kwani shida iko wapi kwani hili baraza la wakilishi na mawaziri wa zanzibar wapo kwa tanzania nzima au zanzibar.
mm ni mzanzibar na nitapambania zanzibar yangu kwa njia yoyote ile nitatea kwa asilimia 100% kama kutetea ni ubaguzi wacha iwee mbona wao wanasema je si ubaguzi
2026-06-16 17:13:58
22
star :
pia bajet inaongezeka kwa 7bu mnazaliana sana m naiman wabara ndo wanaokuza uchumi wa zanzbar achen kupotosha watu
2026-06-17 04:05:19
5
💥p :
viva zanzibar viva
2026-06-17 02:27:16
10
what happened 😕 :
watanganyika ni wabinafsi sana
2026-06-17 03:10:27
4
Mwanaume rijali :
sisi watanganyika hatuitambui nchi inayoitwa zanzibar
2026-06-17 06:57:28
1
MISSZANZIBAR😍 :
Bora haswa looh poooh
2026-06-17 02:19:26
7
Omar Khatib :
Hii imeenda....🥰 Zanzibar
2026-06-17 03:17:00
4
Dady@1367 :
polen sana hakuna muungano kuvunjika
2026-06-17 06:00:38
0
www.daniel17 :
sijajua kwa hizi serikali mbili Nani ataumia zid ila kwa mto mmoja mmoja wazanzibar wengi wataathirika muungano ukivunjika