@newsupdatemedia: Waziri wa Maji Jumaa Aweso ameusimasha kazi uongozi wote  wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Jijini Mwanza MWAUWASA pamoja na kuifuta Idara ya Ufundi  kutokana na Uzembe Uliochocheachangamoto ya upatikanaji wa Huduma za Maji kwa Wananchi. Waziri Aweso Amebainisha sababu za kufanya Maamuzi hayo wakati akizungumza na Wananchi wa kata ya Kirumba wilaya ya Ilemela akiweka wazi ya kwamba viongozi hao walikosa uwajibikaji. #newsupdatemediatz

NEWS UPDATE MEDIA
NEWS UPDATE MEDIA
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 16 June 2026 16:36:09 GMT
12991
362
14
31

Music

Download

Comments

user93937225432211
user93937225432211 :
baba mtowamb maj hamna kabis
2026-06-17 03:49:58
2
magrethomary2
Ree :
waziri tusaidie usagara
2026-06-17 10:24:35
0
mosultan464
Mo sultan :
Jamaican chips 🔥
2026-06-17 05:31:06
0
fadhili.mboyi..de6
+255🇹🇿 :
Na mpaka sasa maji hakuna tu
2026-06-17 01:24:25
2
norry253
norry :
mbona bado hatuna maji
2026-06-17 08:58:01
0
zayn.boutique.tur
zayn boutique turkey :
safi sana miezi miwili tunanunua maji ubarikiwe sana 🔥🔥🔥🔥
2026-06-17 06:52:38
0
damianokudeli
shagalakanyango :
watumishi wengi wajinga sana
2026-06-17 07:58:36
0
salvason4
Salva Son :
waziri maji hayatokei hila bili ndo inatoka
2026-06-17 08:22:24
0
user7319126820929
user7319126820929 :
hawa wa maji wajinga sana wanamajibu ya hovyo sana
2026-06-17 04:22:20
3
gaston.kasheija
Gaston Kasheija :
miaka6o majiyamugao
2026-06-17 02:14:35
0
fatumahassani066
fatumahassani066 :
yaani maji yamekua changamoto
2026-06-17 04:51:57
1
mwendo51
mwendo51 :
Baba bill huk kisesa so poa
2026-06-17 09:35:08
0
restuta.mashauri
Restuta Mashauri :
kazi kuyapost tu kumbe hayana hata maji,,,
2026-06-16 19:26:04
0
user7063619437441
Ellyboy💬 :
fukuza woteee
2026-06-17 05:11:52
0
To see more videos from user @newsupdatemedia, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About