@paza_sauti_media: Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imeandika historia mpya baada ya jopo la madaktari bingwa kufanikisha salama uzazi wa watoto watano kwa Bi. Victoria Mkwizu, mkazi wa Tabata jijini Dar es Salaam, katika tukio adimu la uzazi lililofanyika tarehe 13 Juni 2026. Watoto hao, watatu wa kiume na wawili wa kike, wamezaliwa wakiwa katika hali nzuri na wanaendelea kupatiwa uangalizi wa karibu huku hospitali hiyo ikiendelea kusimamia huduma bora kwa mama na watoto hao

Paza Sauti
Paza Sauti
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 16 June 2026 19:54:28 GMT
4416
119
10
26

Music

Download

Comments

md.essm
rahma :
hongereni
2026-06-16 20:27:41
1
jidawiysuperstore
JIDAWIY SUPER STORE :
Muhgu akupe nguvu na ujasiri
2026-06-17 14:20:21
0
yasinmohamed4540
Yasin Mohamed :
hongera san
2026-06-17 19:07:10
0
fatuma.mgomba
Fatuma Mgomba :
hongereni sana, Mungu awakuze watoto
2026-06-17 06:51:33
1
rehema.kiluwa
Rehema Kiluwa :
hongera dada
2026-06-17 18:29:20
0
nurhat358
Nurhat :
mungu awakuze inshaallah
2026-06-16 21:11:11
0
jidawiysuperstore
JIDAWIY SUPER STORE :
Jaman bajaji wangu kkoo mungu akibariki sana hongera
2026-06-17 14:20:06
0
asiaabasi8
user1381510542688 :
toeni namba tuwasaidie
2026-06-17 08:23:36
0
emmylizzy99
Emmylizzy99 :
hongereni watoto 5 so mchezo watoe namba tupate mawasiliano nao chchote tutakacho bariwa tumtumie ,,ongereni wanangu mungu ni mwamifu
2026-06-17 07:29:44
0
catherineringo430
Catherine Ringo :
mpare huyu hongeren na Mungu awatunze
2026-06-17 22:07:41
0
To see more videos from user @paza_sauti_media, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About