Mungu akitaka kukupa haangalia muda wala mahali..akuna asiyefaa asofaa kafaa wema akiba, usimkatie mtu tamaa kama bado yupo hai...mchawi Mungu miti shamba imani tu
2026-06-17 06:40:01
21
🌺🌺Custodian🌺🌺 :
Unajua leo yangu,kesho yangu huyajui kabisaa....Dunia duara
2026-06-17 19:15:51
3
AbdulHamidGoodlyfe :
Every Person In This World Was Brought For A Reason..😁Respect To All.
2026-06-17 14:18:03
7
Kadiri :
Kweli Dada Mwenyezi Mungu sio Athmani
2026-06-17 16:47:14
2
ABOVE ONLY :
Asante sana dear,mm nilifanywa mfanyikazi na dadangu mdogo kwa kuwa Sina chochote na sijaolewa.Lakini Mungu ameniunua kiasi yakuwa watu waniulizana maswali.
2026-06-17 16:32:55
2
user4499417681172 :
amen
2026-06-17 14:27:17
1
chocolate ❤️ :
asante dadaa
2026-06-17 13:41:34
2
Zuu :
weee dada Umenena jambo zito sana 😭😭😭😭 story yangu kabisa hiyo wee umeniliza😭😭😭Alhamdulilah yarraby 🤲 ndiyo neno langu daima