@shambashine: Call0658019731 bei ni shilingi elfu 60 Punguza matumizi ya maji na ongeza uzalishaji wa mboga zako kwa kutumia mfumo wa umwagiliaji wa matone (Drip Kit). Mfumo huu husambaza maji moja kwa moja kwenye mizizi ya mimea, hivyo kuokoa maji, muda na nguvu.
Shambashine
Region: TZ
Wednesday 17 June 2026 10:31:24 GMT
Music
Download
Comments
@official July14 :
safi sanaaa
2026-06-17 22:11:24
0
Mumo Kim :
Niko Nairobi nitapataje?
2026-06-17 20:39:40
0
Imani Innocent :
Nice project
2026-06-17 11:45:15
0
kido :
namba
2026-06-17 19:41:01
0
issamshana3 :
safi
2026-06-17 19:17:04
0
zabe :
kazi nzuri sana🥰
2026-06-17 18:11:37
0
Frida Nchimbi :
Nahitaji
2026-06-17 16:35:14
0
Ms.Happy :
Nipo kibaha maili moja nawapataje
2026-06-17 17:48:27
0
marry :
Naomba unielekeze jinsi ya kupanda spinachi kwenye mifuko ya cement
2026-06-17 17:04:38
0
Samson Mathias :
sijaelewa mfumo mzima ni elfu 60? morogoro mjini sehemu gani hapo
2026-06-17 16:26:29
0
awadhi kipenzi :
maji utakayo mwagia humo unyefu wake unakaa baada ya siku ngap
2026-06-17 13:28:02
0
Kingdom_Oven :
nautaka huo mfumo huku mwanza
2026-06-17 15:01:19
0
3702 :
namba
2026-06-17 12:42:46
0
Aludo Makori :
elfu 60 ufundi na hiyo mipira inaweza ikagharimu kiasi gani?
2026-06-17 18:41:25
0
rey :
mi nahitaji
2026-06-17 13:00:00
0
G kids :
safi sana haya ndo matunda ya kusoma nitakutafuta nikiwa nimesettle
2026-06-17 11:36:06
1
sumito :
nimeipenda hiyo
2026-06-17 15:34:57
0
Mumo Kim :
mfumo wote ni sh.ngapi?
2026-06-17 20:38:47
0
To see more videos from user @shambashine, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.