huyu mwamba ameifanyia mengi sana Tanzania,katika kuhakikisha ustawi wa nchi na watu wake,
Allah azidi kmhifadhi
2026-06-17 13:16:21
7
Kwenye One and two :
huyu mzee ameliongelea hili jambo in a very positive way, ila alichosahau, failure ya hao walimu ni imperfection ya mfumo ambao yy alikuwa kiongozi wake. Alipaswa asikitike kwa nn hiyo hali ilikuwepo. Jaman, hii ni nchi yetu, failure ya mtu yoyote kuanzia Rais mpaka mfagizi ktk public service sio kitu cha kucheka ni kutafuta long term solution.
2026-06-17 19:51:25
1
########## :
👍👍👍
2026-06-17 13:20:23
1
CHEGECHELA PESAMBILI :
🤪😜😜😜😜😜
2026-06-17 20:41:09
0
To see more videos from user @kundyarajabu, please go to the Tikwm
homepage.