@landfyproperty_coltd: Watu wengi wamepoteza kudhulumiwa ardhi zao kwa kudhani kuwa "Mkataba wa Maandishi" pekee unatosha kuwapa usalama wa kudumu. Kumbuka, bila kufuata taratibu kamili za kisheria na usajili, ardhi yako inaweza kuuzwa tena na ukajikuta huna Linda uwekezaji wako leo. Wasiliana na Landfy Property Company Limited kwa ushauri wa kitaalamu wa uwekezaji na ardhi. landfyproperty_coltd# #landfyproperty_coltd #fyp #propetyinvestment
mbna ni mzuri sana,
yaan sijaelewa hata ulichoongea
2026-07-31 09:49:38
1
Money :
Naomba kufahamu ikiwa kiwanja kimepimwa na mmili akakuuzia kipande cha eneo je naweza kupata hati ya hicho kipande,na je ikishindikana nn nifanye ili niwe salama na eneo langu
2026-07-23 10:34:11
0
muba mziguq :
hiy kaz siwez bora nisijenge mana hata nikijenga nitambiwa eneo langu limeuzwqq
2026-07-25 10:14:42
0
Jiresi Malisel :
mimi kwenye pesa zangu sitaki mambo mengi wala mizunguko
2026-06-18 19:28:07
5
mafundi umeme ubungo :
ha mkoa wa pwani mpo sehemu Gani..
2026-07-14 10:39:17
0
Kelvin :
mwanza office zipoo wapi
2026-06-18 15:08:23
1
iposikuspareparts :
mnqpqtikana wapi
2026-07-20 10:31:37
0
Joseph abel mwaikugil :
dar es salaam mko wap
2026-06-21 02:54:47
0
Lackson Lukumai :
dodoma sehem gan na ni hatua gan nafuata kupitia nyie
2026-07-21 20:39:24
0
Said John Shindika :
asante kwa elimu
2026-06-18 18:32:33
1
mafundi umeme ubungo :
eneo lipo Boko mnemela (mtendeni) je .....upande wa uko garama sh ngapi
2026-07-14 10:37:35
0
Tatu Said :
asante sanaa
2026-07-12 14:34:18
1
Prof :
Mnafanya nchi nzima
2026-06-18 08:33:19
1
Promax :
mtu anaeleza vitu vya msingi lakini anafunga post yake isiwezekane kudownload
2026-06-20 14:24:49
1
GOS HUB STORE :
zanzibar mupo
2026-06-18 07:17:56
3
Landfix Auction Mart &Brockers :
sawa bosi
2026-06-18 10:44:33
3
SHUKURANI GAUDI :
gharama ni kiasi gani kwa Morogoro. nahitaji huduma hii
2026-06-18 04:03:41
3
Hellen Kakore :
asante dada yangu😊☺️
2026-06-18 13:54:47
2
To see more videos from user @landfyproperty_coltd, please go to the Tikwm
homepage.