@mozannah: Assalam alaykum guyyysss😍😍😍 Najuwa kila mtu na anavopenda maharage yake ila mi mtu akiniuliza napenda maharage ya nazi au yakuunga kama hivi basi nitachagua haya😍 Nahisi unyamwezi ndani yangu una shout sana😂😂😂🙌🏽 Sasa leo yamezidi kuwa matamu nimetumia hii masala ya mchuzi mix kutoka @onga_tz . Kama unapenda maharage yakuunga kama hivi basi usiache kujaribu hii recipe ni amaziinggg🩷🔥🔥🔥 #ongaflavor #ongachallenge #bringtheflavor #cookforinlaws