@elvinconsulting: Moja ya mapendekezo ya serikali katika bajeti ya mwaka 2026/2027 ni kuongeza kima cha mauzo cha biashara zilizopo presumtive ( wanaokadiriwa) kutoka TZS 100M mpaka TZS 200M sambamba na kutoa option ya kuandaa mahesabu na kujikadiria ( selfassessment) wenyewe. Nini maoni yako? #taxconsultant #zanzibar #bajetikuuyaserikali #biashara #creatorsearchinsights