@hanen1hanenn: #حنيين #حن #hanen #المشاغبه_المجنونة #اكسبلور #دعمكم_ورفعولي_فديو #اعاده_نشر🔁 #الاسكندرية #سكاره_العراق

حن💎ين
حن💎ين
Open In TikTok:
Region: EG
Wednesday 17 June 2026 16:25:42 GMT
27744
1006
189
47

Music

Download

Comments

x.x..ahmed.refaat..x.x
*«.☆.★.Moody.★.☆.»# :
❤️❤️❤️قمر❤️❤️❤️
2026-06-17 16:27:33
2
mohaned.teto
Mohaned💔 :
عاش ي عسل
2026-06-17 16:32:04
1
janjonaalmagnona
gogomohamed(>_<) :
انا بكسف انام بي ادام نفسي😳
2026-06-27 18:38:40
0
user52334498072958
👻طرزانـــ😜اسد🦁جهتوــــــ😜ـ :
عسل ياحنين
2026-06-17 16:27:44
1
youssefolimy1
olimy :
والله واقف
2026-06-17 21:13:42
1
user4288081610193
اسلام يسري إبن اصول :
عسل
2026-06-17 16:40:43
1
user4661134848120
مارو يحب الجميع🌏 :
روحي ♥️♥️
2026-06-17 20:23:13
1
user8298012303332
أحمد إبراهيم محمد إبراهيم ابو :
🥰🥰🥰 تمام
2026-06-18 09:54:21
0
user3966157145047
المني :
بطل
2026-06-17 16:40:33
1
mazin__74
NEVER FORGET 74 🔱 :
احب ان بنتي تبقا زيك🤩🤩
2026-06-17 19:40:30
1
user9657076981220
صباح الحرز 😏😜 :
قمر واهي💖
2026-06-29 08:28:36
0
10210lbrahim
الدنچوال Eb✅😎 :
احبه 🫵🏻🤣
2026-06-28 05:12:37
0
malak.hmada29
Malak Hmada :
2026-06-28 21:25:50
0
mustafa_elakly
⚡MᵾsŧȺfȺ ELAKLY✖‿✖• :
وربنا عسلية ❤️💓💓❤️🥰
2026-06-17 18:39:11
1
user57502183675900
🦅★☆🫆🥇كيمو البلد 🥇 🫆☆★🦅 :
اي القمر ده♥️
2026-06-17 16:43:39
1
user52334498072958
👻طرزانـــ😜اسد🦁جهتوــــــ😜ـ :
عسل ❤️
2026-06-17 16:34:14
1
xx__adam__takreban__xx
ال🐯نـــــــــــــــــــمر :
مزه
2026-06-23 08:54:48
0
hmoudanabil2011
HMOUDA ELGOHARY :
جمده
2026-06-24 22:01:56
0
spicyup10
Moh7amed Alhob :
طب اي
2026-06-17 17:57:37
1
madh7204ixc
جروب السر اتكلم برحتك فيه :
انا بكلمك مش بتردي
2026-06-30 18:34:11
0
user184541437800
شامخ :
عسل والله ❤️❤️
2026-06-28 05:55:38
1
user6190168359283
Henin 😜💋 :
قلبي ♥️
2026-06-17 18:29:32
1
To see more videos from user @hanen1hanenn, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Serikali imetoa siku 21 kwa wamiliki wote wa vyombo vya moto nchini kuhakikisha wanaviingiza kwenye Mfumo wa Uratibu wa Ukaguzi wa Vyombo vya Moto (MIMIS) na kuvikaguliwa kwa mujibu wa sheria kabla ya Julai 31, 2026, kuelekea kuanza kwa operesheni maalumu ya ukaguzi wa vyombo hivyo. Agizo hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Ayoub Mohammed Mahmoud, baada ya kikao cha Kamati ya Uongozi ya Baraza la Taifa la Usalama Barabarani kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam. Ayoub amesema tathmini iliyofanywa na Baraza hilo imebaini kuwa asilimia 46 ya changamoto za usalama barabarani nchini zinatokana na uzembe wa madereva, hali iliyosababisha Serikali kuanzisha operesheni maalumu ya ukaguzi wa vyombo vya moto ili kuimarisha usalama barabarani. Ameeleza kuwa baada ya kumalizika kwa muda wa siku 21 uliotolewa, Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha Usalama Barabarani kitaanza kuchukua hatua za kisheria dhidi ya wamiliki wa vyombo vya moto ambavyo havitakuwa vimekaguliwa, ikiwemo kuwatoza faini kwa mujibu wa sheria. Kwa upande wake, Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, SACP William Mkonda, amewataka wamiliki wa vyombo vya moto kutumia muda uliotolewa kukamilisha ukaguzi wa vyombo vyao kupitia mfumo wa MIMIS kabla ya kuanza kwa operesheni hiyo. Mkonda amesema huduma za ukaguzi pamoja na msaada wa matumizi ya Mfumo wa Uratibu wa Ukaguzi wa Vyombo vya Moto (MIMIS) zinaendelea kutolewa katika maeneo mbalimbali nchini ili kuwawezesha wananchi kutimiza matakwa ya sheria ndani ya kipindi kilichotolewa.
Serikali imetoa siku 21 kwa wamiliki wote wa vyombo vya moto nchini kuhakikisha wanaviingiza kwenye Mfumo wa Uratibu wa Ukaguzi wa Vyombo vya Moto (MIMIS) na kuvikaguliwa kwa mujibu wa sheria kabla ya Julai 31, 2026, kuelekea kuanza kwa operesheni maalumu ya ukaguzi wa vyombo hivyo. Agizo hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, Ayoub Mohammed Mahmoud, baada ya kikao cha Kamati ya Uongozi ya Baraza la Taifa la Usalama Barabarani kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam. Ayoub amesema tathmini iliyofanywa na Baraza hilo imebaini kuwa asilimia 46 ya changamoto za usalama barabarani nchini zinatokana na uzembe wa madereva, hali iliyosababisha Serikali kuanzisha operesheni maalumu ya ukaguzi wa vyombo vya moto ili kuimarisha usalama barabarani. Ameeleza kuwa baada ya kumalizika kwa muda wa siku 21 uliotolewa, Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha Usalama Barabarani kitaanza kuchukua hatua za kisheria dhidi ya wamiliki wa vyombo vya moto ambavyo havitakuwa vimekaguliwa, ikiwemo kuwatoza faini kwa mujibu wa sheria. Kwa upande wake, Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, SACP William Mkonda, amewataka wamiliki wa vyombo vya moto kutumia muda uliotolewa kukamilisha ukaguzi wa vyombo vyao kupitia mfumo wa MIMIS kabla ya kuanza kwa operesheni hiyo. Mkonda amesema huduma za ukaguzi pamoja na msaada wa matumizi ya Mfumo wa Uratibu wa Ukaguzi wa Vyombo vya Moto (MIMIS) zinaendelea kutolewa katika maeneo mbalimbali nchini ili kuwawezesha wananchi kutimiza matakwa ya sheria ndani ya kipindi kilichotolewa.

About