@mercymainaofficial: Replying to @nathan.co.ke0 #mercymainaofficial #legitmanpowerltd #fyp #trending #gulfsaudi

Mercy Maina
Mercy Maina
Open In TikTok:
Region: KE
Thursday 18 June 2026 04:23:16 GMT
41880
1864
131
32

Music

Download

Comments

josejose0021
jose Jose 🇰🇪🇶🇦 :
wangapi tuliambiwa Na agent after kufika mkiulizwa kama mlilipa commission mseme hapana ..😁😁
2026-07-26 17:23:28
4
eunicenyanganyi71
Eunice Nyanganyi :
please nataka ya direct
2026-07-26 04:55:02
0
sashajohnnynjoro
Sasha njoro 🇰🇪🇶🇦 :
and that is the truth. my opinion badala ya kuitisha mtu 220k atleast mungekuwa mnachukuwa 150k
2026-06-18 09:25:04
34
nobleman..329
the promise..@032 :
kulipisha sio vibaya lakini wengine wenye mnalipiaha watu pesa miingi
2026-06-18 05:35:50
11
engineera037
Engineer037 :
Ukweli ni kwamba Mwarabu akiitisha mfanyakazi huwa amelipa everything, what I know ni medical pekee Huwa unajisimamia. Commission sio vibaya but kula kiasi
2026-06-18 15:16:14
17
kimanijameskuria
Kimani James Kuria :
Free or not. As long as the agent is genuine wewe lipa na Uende kazi.
2026-06-18 18:00:26
8
winfridah.k
WINFRIDAH K. :
mwarabu pays for everything
2026-06-20 11:47:22
4
kimemiah2
kimemiah :
agent huwa wamelipwa per head for all the process Yako n kubring the client ajisimamie medical , commission n ya nn ukule double
2026-06-19 10:52:45
3
wangombee
wangs😉 :
Ata ikue free, kwani agent atapata wapi operation costs? 🤔 Analipa rent ya ofisi, analipa wafanya kazi, analipa permits za government na kathalika. Kitu naeza sema ni wengine wanalipisha too much. Soja analipa 250k na salary ni 50k😏 wa balance
2026-06-18 15:18:01
4
gaddafii254
Kenyan Mafia :
Mostly kazi ambayo ni 1000Qr company huwa inalipa everything other than medical
2026-06-19 08:49:44
2
anitah9400
anitah :
Heli nitoe 250k na nikue save 🙏
2026-06-18 07:24:17
3
borinya0
LORNEY🇪🇺🇫🇮 :
The truth is that, yes, the employer may have paid all the official costs. However, for an agent to secure the opportunity to recruit people, there are often additional expenses involved behind the scenes. In many cases, someone within the system must be facilitated, and that alone can cost close to KES 100,000. Beyond that, the agent may have paid for the connection that enabled them to access the opportunity in the first place, which could cost another KES 30,000 or more. We should also remember that agents run offices, pay operational expenses, and travel regularly to manage the recruitment process. Looking at all these costs, KES 220,000 is not necessarily a huge amount considering the agent only earns it once per recruit. Many people assume that obtaining recruitment connections and opportunities is easy, but the reality is quite different. The challenge is that those involved cannot openly explain every detail because it may not make sense to everyone or could be misunderstood. That's why some people find it difficult to understand how the recruitment process actually works behind the scenes.
2026-06-20 08:39:31
0
user7134188677868
user7134188677868 :
HR sells these Jobs to agents. Half of commission goes to HR,half to agents. Company pays for everything,agents anakula kitu 30-45% which is okay. that is around 100k,analipa rent and also hall watu wanafanyia interview
2026-06-18 11:25:00
1
jumper.mwafrika
Jumper mwafrika :
tamerage..... adu tigana nao no ugumukora onaikumi dari.....
2026-06-18 04:50:01
2
wyregi0
Samson :
commission hua mnaitisha ya nini
2026-06-18 12:03:20
1
87davidkengere
omoarubaine :
Mimi pesa yangu yenye alikula nikafeel vibaya ni ya medical. ?
2026-06-18 11:53:54
2
shirabravinn
African Queen 👑❤️💜 :
sai hakuna kitu ya free huku,kama sai sponsor alijileta huuza visa 2000qr,so ukimpata anakulipisha hio anakupee visa,zingine unajipanga,ukipatana na agent obviously atakula zake
2026-06-18 15:17:07
0
kiundu63
user5180654387397 :
Good response.
2026-07-06 04:48:11
0
johnas315
Joh Nas :
Io connection mtu anapataje
2026-07-17 09:50:15
0
To see more videos from user @mercymainaofficial, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About