@emmanuel.page5: Kwenye madai hua kuna ghalama halisi(specific damages) na ghalama za ujumla(general Damages) halisi ni lazima zithibitishwe lakini general sio lazima na ni discretion ya mahakama kukupa na isipokupa ni lazima itoe sababu za kwanini haijakupa
nawezaje kufungua kes ya madai kma Sina ushaid wa maandish wala.video
2026-06-18 07:13:37
2
DANI TRONICS :
mzee wa tikisa ivi sungusungu wapo kisheria
2026-06-18 10:51:46
1
Mr unfair :
kaka Nina mtu nataka nimtikise. Ni fundi nilimpa pesa aninunulia vifaa amepotea nae. naona kuliko kumroga ukichaa bora nimtikise nipate pesa vp nianzie wapi?
2026-06-18 09:10:07
0
Daudi :
kaka Titisa kwa mfano mtu ukimufumania na mwanamke wako unaweza ukameleka mahakamani
2026-06-18 07:45:04
1
The-UN-twin :
boss wangu asubiri kutikiswa 😂😂
2026-06-18 20:22:57
0
MEJA P. :
kwani ayo mambo yote yanatakiwa yote kwapamoja. ( hiyo ni kesi moja).
2026-06-18 17:01:41
0
CALVIN_TRONICX :
sasa kaka unataka ukatikise na bado ujafumania😂
2026-06-18 10:29:50
0
The Last Nightwalker :
sahivi ntakua nadai sanaa😂
2026-06-18 07:55:59
0
VicLakeVibes :
associate vipi kuhusu MTU uliyempa kazi akachukuwa pesa na kazi hakukamilisha mpaka mwisho?
2026-06-18 15:22:11
1
joelmathias887 :
bro naomba kuongea na Wew
2026-06-18 16:34:46
0
Philipo Mkude :
mdeni kulipa deni si anasema kiwango anachoweza kulipa lwa awamu
2026-06-18 19:37:51
1
Acquired lands & survey :
Kuna jamaa yangu namdai ni unaenda mwaka sasa ( Nina ushahidi wa kila kitu sema hatukuwa tumeandikishiana but yeye anakubali kuwa namdai )
2026-06-18 17:17:27
0
Fresh Drip Fashion :
Mfano umetoa mahali bila kuandikishiana alafu ndoa ikavunjika kabla ya kufungwa kama ukipeleka kesi mahakamani unaweza kupata pesa yako
2026-06-18 17:46:05
0
Yusuph :
ikatokea mtu akachukua picha yako na kutengeneza video kwa AI...je unaweza kwenda kudai fidia kwa kukutumia bila utaratib
2026-06-18 16:26:07
0
mr-black :
ngoja nitake note Mr. Tikisa
2026-06-18 15:00:33
0
Dr_Saidi :
Laka mimi niliweka standing order bank moja hivi ambapo hela ilikuwa inatakiwa kuingia katika Fixed account kama savings sasa changamoto kuna hela ya miezi kadhaa haikuingia mpaka ikapelekea nisitishe makato ...Hiyo ilikuwa tangu 2024 mpaka sasa hapo nafanyaje
2026-06-18 14:42:08
0
@uchumifresh.com :
🙏🙏🙏
2026-06-18 16:56:36
0
jumanne clement :
😂😂😂
2026-06-18 07:56:28
0
Pascal_DCC :
💯💯💯
2026-06-19 18:30:24
0
To see more videos from user @emmanuel.page5, please go to the Tikwm
homepage.