@keha.edson: Kwanini usijenge nyumba ya gharama karibu na majiranii masikini. 1. Thamani ya nyumba yako inachangiwa na majirahi zako. Majirani masikini wanashusha thamani ya nyumba yako. Hii itakuathiri pale utakapotaka kuchukua mkopo benki. 2. Utapata changamoto utakapotaka kuuza nyumba yako. 3. Utajihisi mpweke sana Kama unahitaji ushauri namna ya kuwekeza kwenye nyumba na Ardhi karibu @aredproperties tutakushauri.