@gillybonny_tv: Mwakilishi wa Jimbo la Shaurimoyo, Zanzibar, Hamza Hassan Juma amesema kauli ya serikali kuhusu ajira imelenga kuwahamasisha vijana wa Zanzibar kujitokeza kuomba nafasi za kazi badala ya kukaa vijiweni na kulalamikia ukosefu wa ajira. Akizungumza bungeni, alisema zaidi ya asilimia 80 ya wafanyakazi katika baadhi ya sekta, ikiwemo utalii na ujenzi, ni vijana kutoka nje ya Zanzibar, jambo linaloonyesha kuwa nafasi za ajira zipo lakini vijana wengi wa Zanzibar hawazitumii ipasavyo. Aidha, amewataka vijana kujiongezea elimu na ujuzi unaohitajika katika soko la ajira ili waweze kushindana na kupata nafasi hizo. Serikali pia imeahidi kuendelea kutoa elimu kupitia mabaraza ya vijana ili kuwasaidia kuingia kwenye soko la ajira na kupunguza pengo lililopo kati ya vijana wa Zanzibar na wale kutoka nje ya visiwa hivyo.

Gilly Bonny Tv
Gilly Bonny Tv
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 18 June 2026 14:19:41 GMT
21176
1174
57
17

Music

Download

Comments

ahmadabdulmalik756
@malik756 :
Mzee wetu unazeeka vizuri mashaallah 🥰 Allah akupe maisha marefu usemayo ni kweli
2026-06-19 05:39:13
38
brazilerop
Brazilero :
huyu anajitambua mashaallah
2026-06-18 20:04:51
26
godwin_shirima78
Mr.Shirima :
creative thinking
2026-06-19 09:15:26
0
allern.churz
Allern Churz :
hilo ndio tatizo la viongozi wetu wanafiki sana
2026-06-19 10:06:54
0
anithashabani228
Da Anna Muuza juice na urembo :
Baba mwenye Busara
2026-06-19 09:36:43
3
userminzabb8140494598715
Minza :
Ewaaaa baba unaakili sana
2026-06-19 06:14:46
6
user481122186331
TURU CLASS :
Una akili San
2026-06-19 05:18:03
5
amina.wa.amina
Amina wa amina :
huyu nae ameshapona teyari hongera
2026-06-19 11:02:09
1
peaceabesiga
Peace Abesiga :
mmmmm
2026-06-19 13:11:47
0
tundayoungsamir.1
Tundayoungsamir 10 :
umeongea pwenti baba
2026-06-19 07:33:53
2
ilham.khalid63
Ilham Khalid :
hamdillah allah akubarik uwe mkweli kwenye haki daima mumgu akulinde🙏
2026-06-19 11:39:43
1
user7521716100453
user7521716100453 :
mungu akuweke baba inshallah
2026-06-19 08:55:07
1
ukwelimchungu2
MR.X :
Busara mwenzake Hekima...
2026-06-19 09:14:33
1
florapljpir
flora :
asante waambie baba
2026-06-19 07:13:09
1
nyotayamashariki
nyotayamashariki :
mzee umeongea point mno vijana eaache kulalamika na hawataki kufanya kazi
2026-06-19 06:48:34
2
dantown30
user7782346947487 :
Kazi zenyewe wanaweza kufanya?
2026-06-19 09:18:35
3
victornassary9gma
toxic boy💀💀 :
umezungumza fact kiongozi
2026-06-19 07:38:07
2
georgepaulo58
GEORGE :
pointi mkuu
2026-06-19 06:15:22
2
hajest_7
hajest jb :
swadaktaaaa
2026-06-19 10:41:45
0
godsign00
godsign :
wazanzibar laini laini sana
2026-06-19 11:03:26
0
_.chammy_.15
cham🥀 :
wazizabar wanafik sn
2026-06-19 11:33:29
0
mkamba.maulid
Mkamba Maulid :
Ww Mzee umeongea vzr saaana mwenyezi Mungu akupatie nguvu na Afya njema ktk Maisha yako💪🏽🙏🏼
2026-06-19 13:13:33
0
mimi______gii
mimi______gii :
Mungu akubariki 🥰
2026-06-19 12:27:14
0
bakarimuli0
Mr Bokaka :
unakitu mzee
2026-06-19 05:01:38
0
To see more videos from user @gillybonny_tv, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About