fact kitu ambacho nilikuja kukijua nikiwa mtu mzima , wakati uliopita nilikua nafanya nikijua nitasamehewa kwa neema tu 😅🙌
2026-06-18 17:36:49
1
lazarus :
Isaya 1:18
Isaya 43:25
Mathayo 11:28
2026-06-19 01:35:25
0
joni asega :
nikweli kabisa bro hilo naamini 💯
2026-06-18 21:45:31
0
REGINA ADOLPH :
ila biblia ni msitu mungu atusaidie
2026-06-19 04:41:23
1
kazimili :
Tafakari kwa kina amua kwa busara💪💪💪
2026-06-18 17:24:55
1
SUN :
Fact
2026-06-18 19:24:25
1
NURU Glow Tz :
yesu huyu
2026-06-18 18:57:59
1
icon b store :
Ni kwelii ikiwa kwenye uuku faulani kwa mfano wa kiroho kusali sana baadae ukateleza na uzinzi na ulikuwa umeshafika kwenyee ngazi za juu za kusali ata ukiombaa msamaa utasamehewa ila gharama ya kurudi pale ulipokuwa mwanzo aiji apo apo bali utailipia kwa kuanza mwanzo tenaa 🙏🏿iyo ni kweli mtumishii
2026-06-19 08:45:41
0
franco_jv2 :
kwenu nyie uku .. Sisi tumesamehewa uku 🙏
2026-06-18 20:52:13
0
Abdulkarim kalama :
Ebu jalibu kuwa unaenda ktk point alaka
2026-06-19 08:12:26
0
Levine :
🙏🙏🙏
2026-06-19 04:00:55
1
hi jae :
🙏🙏🙏
2026-06-18 18:19:11
1
isaya :
🙏🙏🙏
2026-06-18 20:18:44
1
To see more videos from user @christopher_musa, please go to the Tikwm
homepage.