@faah_libra: 1)ukiota (UNAPAA)fahamu wewe una jini kichwani amekutawala mana moja ya matembezi ya majini ni kupaa🪽🪽🪽 2)ukiota (UNAOGELEA KWENYE BAHARI) fahamu wewe umetawaliwa na jini bahari na amekuchunuku ulipo kwenda baharini ndio akakuvaa🌊🌊🌊 3)ukiota (PETE ZENYE VITO) fahamu una jini mwilini mwako anakusumbua anataka pete💍💍💍 4)ukiota (UNATIBIA WATU) fahamu una jini mwenyewe karama ya tiba utaangaika ila kupona kwako utibie⚕️⚕️⚕️🌲 5)ukiota (UNAINGILIWA KINYUME NA MAUMBILE) fahamu unashetani mwilini mwako anakusumbua mtoe utakuwa shoga👿👿👿👿🧞♀️ 6)ukiota (UNASAGANA NA JINSIA YAKO) fahamu una shetani mwilini mwako,🧞♀️🧞♀️🧞♀️🧞♀️ 7)ukiota (UNAPEWA UPANGA WENYE MANENO YA MUNGU) hii nimeambiwa nisiseme🤲 8)ukiota (UNAPANDISHA MAJINI UKIWA UNAIMBA NYIMBO ZA MAJINI) fahamu una jini uganga 9)ukiota(NDOTO ZINAKUWA) ukiota ndoto alafu zikiwa zinajibu fahamu wewe unajini mkubwa sana ila ajafunguliwa💭💭💭💭💭💭 10) Ukiota (NDOTO ZA SHULE) fahamu umeekewa jini mchafu lengo wakuharibie mambo yako na mipango yako 👿👿👿👿👿 FAHAMU KAMA UPATI NDOTO NI SAWA NA GARI HALINA TAA USIKU NI HATARI SANA#fyp #viral #foryou #foryou #viralvideo