@siasatz: Wamemzunguka Baba yao wenyewe hadi raha yani🙌🏻. Mbunge wa Jimbo la Mbogwe Mhe. Fagason Aron Nkingwa anatoa somo la vijana kuacha uvivu kwenye kuifanya kazi tuliyotumwa na Mungu. Nyie mnaotaka kuuliza kuhusu Bima ya Bunge hapa sio mahala pake eboooo🚶🏼. #SiasaTZ #SiasaZetu #TheShepherd30
ana pesa nyingi? ktk kulea,maana elimu.,hostality,chakula,hao wake matunzo, sasa je ajira zote,sita beba watu wa familia ya mtu mmoja?.Kila mbunge ana watoto.wangapi?kila waziri.ana watoto wangapi?je ajira ,si wata pewa watoto wa viongozi kwanza?.je raia nao? waki.zaa kama hivo? wata weza kulea makuhudumia?.je.ajira.watoto.wa.maskini wata pata?.Mmmh,haya mke mkubwa nae ana pumua kweli na ulezi huo.Mmmh.
2026-06-19 11:37:42
0
To see more videos from user @siasatz, please go to the Tikwm
homepage.