@paulinmkama: Some of us tunaguswa sana na huu wimbo, wengi wetu hatukupata hata gap la kuuguza tu baba zetu, unapata network unambiwa akifika kesho bahati na upo katikati ya pori , you end up going kwenye msiba tu... 💔💔💔 , However Tunamshukuru Mungu kwa kila Jambo 🕊️🕊️🕊️