@mtoto_wa_maria: Watu wengi hudhani mafanikio ni juhudi zao… lakini ukweli ni huu👇 Kila tunachofanya kwa nguvu na akili zetu 💪🧠 mara nyingi tunasahau kitu muhimu sana… Kwamba yote tunayoyaona 👀 iwe ni mafanikio, hatua, na ushindi wetu 🏆 si kwa uwezo wetu peke yake… Bali ni NEEMA tu za MWENYEZI MUNGU, ndizo zilizotufikisha hapa🙏✨ Ukikubali hili, maisha yanabadilika kabisa. Andika “NI NEEMA” kwenye comment kama unaamini 💬🔥 #neema #faithtok #godfirst #catholicchoir #viralsong