@lishe_yamamanamtoto: 🍽️ Sio kila siku lazima uanze upya kufikiria nini umpikie mwanao. Wakati mwingine unahitaji tu wazo moja zuri. ✔️Rahisi kuandaa. ✔️Lenye virutubisho. ✔️Na linaloendana na umri wake. ➡️ Hii ni recipe ambayo unaweza kujaribu nyumbani leo. 📌 SAVE kwa matumizi ya baadaye. 📲 Pata ratiba kamili za milo na mapishi mengi zaidi kupitia LisheBora App. 🤍 #lisheyamtoto #afyayamtoto #watoto #malezi #mamaboy